Aliteeeema mate? Aliteeeema mate kwenye tundu la choo au?Amesema alivyomaliza kukojoa akatema mate pale chooni ile anatoka akajikuta amepata kizunguzungu nakupoteza ufahamu gafla akajikuta amepiga magoti karibu na mlango.
Above 30Ana range ya umri gani mkuu?
Ni hatariMazingira niliyokaa watu wengi wamepata vilema hata kupooza mikono yupo jamaa aliangua chooni kiutani utani na vile mlevi tukachukulia poa ila alipooza mkono alioangukia wamezunguka hospital mpaka basi mpaka kashazoea ni miaka karibia 15 iliyopita na anaishi kama kawa ila mkono umepooza..
Upper limit?Above 30
Alichukua muda gani kuanza kupooza au ni siku ile ile..Mazingira niliyokaa watu wengi wamepata vilema hata kupooza mikono yupo jamaa aliangua chooni kiutani utani na vile mlevi tukachukulia poa ila alipooza mkono alioangukia wamezunguka hospital mpaka basi mpaka kashazoea ni miaka karibia 15 iliyopita na anaishi kama kawa ila mkono umepooza..
Alipata maumivu siku ya pili wakaanza kumchua na ile dawa kipind kile kama sijakosea ni "salimia" inaitwa basi mpaka mkono ukaanza kuzidi duh akaepelekwa hospital kama utani ni wiki zile zile tu jamaa mkono umepooza mpaka leo Yani kama umeparalyze sema wa kushoto anapiga kazi zake kama kawa.Alichukua muda gani kuanza kupooza au ni siku ile ile..
Mwambie aache wenge alikuwa anaota huyo, hajaenda toi wala niniHapo vip!!
Binafsi nimeshindwa kumpa ushauri kuhusiana na tatizo hilo.
Kuna jirani yangu leo amekuja kunieleza jambo la ajabu sana nikashangaa
Hivi anadai ameingia chooni kukojoa usiku alivyomaliza mkoja gafla akapatwa na kizunguzungu na kupoteza ufahamu gafla akajikuta amepiga magoti akiwa anataka kutoka chooni.
Akaamka akatoka chooni ila akawaa ameshtuka sana na ajaumia wala hana maumivu yeyote na anaendelea na kazi zake kama kawaida.
Ananiomba ushauri juu ya hilo jambo kwasababu anakosa amani na anataka kuchukua hatua zaidi..
karibuni wataaam kwa ushauri.
Inategemea mkuu,Ila kuna baadhi ya watu wanasema huwa mtu akianguka chooni akipona ni bahati sana wengi wanapata stroke,kupooza upande,kupinda mdomo au kufa kabisa ila haya yanampata pale pale chooni..sijajua kwa huyu aliyenusurika hayo.
Postural hypotension inaweza kutokea hata kwa mtu mzima tu. Na kuna dawa nyingi kama za kuongeza nguvu za kiume, piriton nk. Zinaweza changia.Amesema hana pressure,ugonjwa wa moyo wala kiuskari
Baba wa rafiki yangu alianguka chooni juzijuzi na kufa.Mazingira niliyokaa watu wengi wamepata vilema hata kupooza mikono yupo jamaa aliangua chooni kiutani utani na vile mlevi tukachukulia poa ila alipooza mkono alioangukia wamezunguka hospital mpaka basi mpaka kashazoea ni miaka karibia 15 iliyopita na anaishi kama kawa ila mkono umepooza..
Inatokea na ndiyo maana wanashauriwa kukojoa wamechuchumaa.Orthostatic hypotension hutokea mara nyingi soon after kusimama, sasa kweli mpaka amefika chooni akafanya yaliyompeleka more than 30 sec. Sina uhakika kama inaapply hapo hii.
😥😥😥Hatar sana ...huwaga mwaka fulani nilikuwa naishi Tanga nilisikia wansema ivi eti mtu akiangua chooni kama amepata jeraha au kutumia basi Ile sehemu ya jeraha ipakwe uchafu wa chooni ndo dawa.. sasa nikawa najiuliza uchafu upi huo wa chooni?Baba wa rafiki yangu alianguka chooni juzijuzi na kufa.
Akili za kuambiwa changanya na za-kwako.😥😥😥Hatar sana ...huwaga mwaka fulani nilikuwa naishi Tanga nilisikia wansema ivi eti mtu akiangua chooni kama amepata jeraha au kutumia basi Ile sehemu ya jeraha ipakwe uchafu wa chooni ndo dawa.. sasa nikawa najiuliza uchafu upi huo wa chooni?
dalili yangu ya kwanza kabisa nikidaka Malaria, japo sipotezi fahamukukojoa usiku alivyomaliza mkoja gafla akapatwa na kizunguzungu na kudondoka
Kazia kabisa "HALI HIYO IPO KARIBU SANA NA KIFO ”Anatumia dawa za pressure? Kama anatumia hilo linaweza kutokea na ni hatari, wanashauriwa kukojoa wamekaa. Na hata kama hatumii hiyo huwa inatokea, inaitwa Postural Hypotension. Yaani pressure ya damu inashuka mtu anaposimama, hasa ghafla sababu damu hukimbilia miguuni. Hilo linafanya damu kwenye ubongo iwe ndogo na kuleta kizunguzungu.
Bahati mbaya watu wengi huwaza majini, mapepo na uchawi.
Ninyi mnao jifanya hamuamini kama ushirikina upo ndio huwa washirikina wenyewe , haya mambo yalisha kuwepo tangu enzi za mitume na manabiiIla ni tatizo la kibiolojia sio manyanga.. Huyo by kesho amepigwa chale mwili mzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hii Dunia tunayopita inakatisha tamaa ..inamambo mengi ya kutisha mno na vita ni kubwa kwa mwanadamu.😥😥😥Hatar sana ...huwaga mwaka fulani nilikuwa naishi Tanga nilisikia wansema ivi eti mtu akiangua chooni kama amepata jeraha au kutumia basi Ile sehemu ya jeraha ipakwe uchafu wa chooni ndo dawa.. sasa nikawa najiuliza uchafu upi huo wa chooni?