Jirani yangu kapoteza ufahamu gafla chooni ila ni mzima

Jirani yangu kapoteza ufahamu gafla chooni ila ni mzima

Hapo vip!!

Binafsi nimeshindwa kumpa ushauri kuhusiana na tatizo hilo.

Kuna jirani yangu leo amekuja kunieleza jambo la ajabu sana nikashangaa

Hivi anadai ameingia chooni kukojoa usiku alivyomaliza mkoja gafla akapatwa na kizunguzungu na kupoteza ufahamu gafla akajikuta amepiga magoti akiwa anataka kutoka chooni.

Akaamka akatoka chooni ila akawaa ameshtuka sana na ajaumia wala hana maumivu yeyote na anaendelea na kazi zake kama kawaida.

Ananiomba ushauri juu ya hilo jambo kwasababu anakosa amani na anataka kuchukua hatua zaidi..
karibuni wataaam kwa ushauri.
Kama ni mwanaume ni kawaida, kuna hali huwa inapata jinsia ya kiume wakati wa kukojoa sukari inashuka ghafla na ntu anaweza kupoteza ufahamu. Wataalam watakuja waeleze zaidi
 
Nimewahi kukutwa na hili jambo zaid ya mara nne,na inatokea kila nikienda haja ndogo usiku(kushtuka/kuamka na kwenda haja ndogo)
Nachukuliaga kawaida tu mana nikihisi kizunguzungu huwa natulia hadi kiishe ndo nitoke
Yah inawatokea wanaume tu
 
Mambo mengi sana yaliaminiwa ni ya kishirikina lakini sayansi imegundua sivyo, lakini washirikina mmezidi kukomaa na imani zenu. Wengi bado wanaamini radi inatumwa na watu na ikipiga sehenu huwa inataga mayai😀
Hayo ya imani za radi ni ya kwako lakini la kwangu nyie kujifanya hamuamini ushirikina wakati mme chanja chale hadi kwenye nyeti
 
Ebwana kama Yuko dar au mkoani mwambie aende eagt city centre Kwa pastor Katunzi aende Tu Kwa ibada at aki Google atapata kanisa lilipo njia ya mbagala nakwambia hapo atapata uponyaji bure kanisa Kwa Jina la Yesu niamini nimempeleka wengi mapepo yamekimbia afanye hima wasije muwahi msaidie kwenda kanisani kama unampenda hapa Nina uhakika Napo...
Hilo Katunzi ni tapeli kuu, halafu wakristo mnawaamini Sana hao matapeli
 
Hayo ya imani za radi ni ya kwako lakini la kwangu nyie kujifanya hamuamini ushirikina wakati mme chanja chale hadi kwenye nyeti
Na wewe kuamini uchawi ni imani yako, usiilazimishe kwa wengine. We kama unaamini uchawi endelea kuamini, lakini fahamu kuwa kuamini uchawi kama unavyoamini wewe hadi kufikia kuchanja nyeti nao ni uchawi.
 
Hapo vip!!

Binafsi nimeshindwa kumpa ushauri kuhusiana na tatizo hilo.

Kuna jirani yangu leo amekuja kunieleza jambo la ajabu sana nikashangaa

Hivi anadai ameingia chooni kukojoa usiku alivyomaliza mkoja gafla akapatwa na kizunguzungu na kupoteza ufahamu gafla akajikuta amepiga magoti akiwa anataka kutoka chooni.

Akaamka akatoka chooni ila akawaa ameshtuka sana na ajaumia wala hana maumivu yeyote na anaendelea na kazi zake kama kawaida.

Ananiomba ushauri juu ya hilo jambo kwasababu anakosa amani na anataka kuchukua hatua zaidi..
karibuni wataaam kwa ushauri.
Hili jambo la kawaida, inaonyesha aliamka ghafla na kunyoosha chooni.

Kwa hiyo mzunguko wa damu ulifeli kwenda kichwani kama inavyotakiwa hivyo kupungukiwa na oksijeni ya kutosha kichwani.

Inashauriwa unapoamka toka usingizini jaribu kukaa kidogo kabla hujasimama
 
Hapo vip!!

Binafsi nimeshindwa kumpa ushauri kuhusiana na tatizo hilo.

Kuna jirani yangu leo amekuja kunieleza jambo la ajabu sana nikashangaa

Hivi anadai ameingia chooni kukojoa usiku alivyomaliza mkoja gafla akapatwa na kizunguzungu na kupoteza ufahamu gafla akajikuta amepiga magoti akiwa anataka kutoka chooni.

Akaamka akatoka chooni ila akawaa ameshtuka sana na ajaumia wala hana maumivu yeyote na anaendelea na kazi zake kama kawaida.

Ananiomba ushauri juu ya hilo jambo kwasababu anakosa amani na anataka kuchukua hatua zaidi..
karibuni wataaam kwa ushauri.
Micturition (or post-micturition) syncope is fainting while urinating or immediately after urinating. This is likely due to a severe drop in blood pressure. Micturition syncope is most common in older men and usually when getting up at night from a deep sleep.
 
Tbs haithibitishi mafuta ya kupikia ubora wake na kuwaacha wananchi wakila nyama nyekundu kwa wingi hapa nchini, matokeo yake ndiyo kushindwa kipitisha damu kwenye ubongo.
 
Hapo vip!!

Binafsi nimeshindwa kumpa ushauri kuhusiana na tatizo hilo.

Kuna jirani yangu leo amekuja kunieleza jambo la ajabu sana nikashangaa

Hivi anadai ameingia chooni kukojoa usiku alivyomaliza mkoja gafla akapatwa na kizunguzungu na kupoteza ufahamu gafla akajikuta amepiga magoti akiwa anataka kutoka chooni.

Akaamka akatoka chooni ila akawaa ameshtuka sana na ajaumia wala hana maumivu yeyote na anaendelea na kazi zake kama kawaida.

Ananiomba ushauri juu ya hilo jambo kwasababu anakosa amani na anataka kuchukua hatua zaidi..
karibuni wataaam kwa ushauri.
Mimi ni Muislamu
Katika mafundisho ya dini yetu ni kua chooni wanakaa viumbe wabaya yni masheitwani ndo mna mafundisho ya dini yetu ni kua ukiingia chooni watakiwa kusoma dua na ukimaliza wasoma dua kwa kumshukuru Mungu kukulinda na hao viumbe

Kuna moja ilitokea morogoro
M.ke ameingia chooni hajasoma dua akapigwa kofi na kiumbe ambacho hajakiona ndo ikawa sababu ya kifo chake

Tusipuuze mafundisho ya dini yanatusaidia bila ya sisi wenyewe kujua
 
Nimewahi kukutwa na hili jambo zaid ya mara nne,na inatokea kila nikienda haja ndogo usiku(kushtuka/kuamka na kwenda haja ndogo)
Nachukuliaga kawaida tu mana nikihisi kizunguzungu huwa natulia hadi kiishe ndo nitoke
Nadhani sio kwako tu ,mm naamka Kwa kushtuka na mbio hadi toilet apo unakuta Nina mawenge ya usingizi au ubaya ukiwasha taa usiku gafla unaumia macho,ila Mimi sijawahi anguka ,naona ni mfumo wa mwili tu unahitaji utulivu kwanza ndio uamke.
 
Back
Top Bottom