Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Ngoja nitafute picha za wanaonidai jumapili niende kwa mwamposaHuyu mganga wa michongo. Waganga hawakai nyumba nzuri🤣🤣🤣
Leo nimeona clip mwamposa anamuombea mtu mwaka huu madeni ayalipe🤣🤣😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nitafute picha za wanaonidai jumapili niende kwa mwamposaHuyu mganga wa michongo. Waganga hawakai nyumba nzuri🤣🤣🤣
Leo nimeona clip mwamposa anamuombea mtu mwaka huu madeni ayalipe🤣🤣😀
Hii ungemtell Mwenyewe ingekusaidia sana 😅😅😅,Kama mganga kweri si akaishi milimani uko...
Naomba kuwasilishaa
Sahihi mkuu ushauri mzuri tumeanza kwa baloziNadhani kuna utaratibu wa kuzuia makelele hususani nyakati za usiku kwenye makazi ya watu. Anza kwa kupeleka malalamiko serikali ya mitaa.
Mshana Jr Kuna kazi huku usiku hatulaliBalozi mwenyewe muoga mpeni hyo kazi Mshana Jr
Tunamuogopa mkuuHii ungemtell Mwenyewe ingekusaidia sana 😅😅😅
😄😄😄😄Basi japo aweke sound proof 😀
😁😁😁Basi japo aweke sound proof 😀
Aisee ni shidaa Kama tupo makaburini hivi ata tendo na mke hatuenjoyMganga tena dah ni sawa na kulala makaburini sahau kuhusu usingizi
Basi kaa kwa kutulia mkuuTunamuogopa mkuu
Hakuna binadamu muoga kama tapeli. Fanyeni na nakuhakikishia anaondoka.Mkuu hio njia inafanya kazi kweri Mana tumechoka usiku hatulali
Mganga wa mchongo wachawi wapi anatupigia mikelele tuKwamba mganga anafukuza wachawi [emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee ni shidaa Kama tupo makaburini hivi ata tendo na mke hatuenjoy
Mkuu unataka kumponza jamaa.Hakuna binadamu muoga kama tapeli. Fanyeni na nakuhakikishia anaondoka.
Yeye anaigiza uganga hivyo chochote kilichokaa kimazingara atajua waganga wa kweli wanataka kumuondoa.
Tena mkitaka kunogesha, chukueni subwoofer kubwa na rekodini sauti za paka na bundi (zipo nyingi youtube). Ikfika saa 8 usiku mnafungulia full blast kuelekea kwake kipindi hicho msahaweka njiwa wenu kizingitini.
Hachukui round anasepa huyo.
Mkuu nimekupata sanaHakuna binadamu muoga kama tapeli. Fanyeni na nakuhakikishia anaondoka.
Yeye anaigiza uganga hivyo chochote kilichokaa kimazingara atajua waganga wa kweli wanataka kumuondoa.
Tena mkitaka kunogesha, chukueni subwoofer kubwa na rekodini sauti za paka na bundi (zipo nyingi youtube). Ikfika saa 8 usiku mnafungulia full blast kuelekea kwake kipindi hicho msahaweka njiwa wenu kizingitini.
Hachukui round anasepa huyo.
😁😁😁[emoji23][emoji23] chakufanya huyo nenden mkamtishie mm nakumbuka kuna mganga alilazimisha kupanga nyumbani mama akampa biti moja iyo hakuludi tena
Nampa maujanja🤣Mkuu unataka kumponza jamaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]