Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

@Analyse
 
Usicheze na bembele wewe... [emoji23][emoji23]
Sema big ni nyox sana. Bado ninapata uoga hata usiku. Big mshenz sana. Sasa baba mwenye nyumba alijuaje wamekata moto? Maana nilijua anaongozana na mjumbe kama ushahidi kutoa viti vya big nje kumbe wanaenda kutoa wagonjwa. Huyo mke na mtoto watakua misukule si bure.
 
[emoji419][emoji419]
 
Haya haya wale watukutu na wapiga kelele wakiongozwa na dr namugari njooni muendelee na mitkasi yenu ya uhariri

[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] hao watu wana team yao sasa hivi wameamia kwa sodoku habari na hoja wanarudia kusoma story yake wanamwambia ole wako tukute chai jiandae na umesema story ya kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…