Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Hio sh 50 uloiokota Steve umechukua mikosiiiiiiiii!!
Wachawi/walozi wanapenda sana kutumia pesa za sarafu kwenye shirki zao / maulozi yao
Ilitokea kibibi kizeee au mtu ambae unajua/ kuhisi ni mchawi akakuomba sh 50 ...100 au hata 200 usimpee hio ya coin moja kwa moja mpe Ya note ikiwezekana kubwa kabisa akatafute chenchi mwenyewe akurudishie yeyee!!
Giza lina mauzauza sio poaahhh!!
Namimi najiuliza ,kama huyo mtoto alikufa ,walimzika wapi ? ,ni nani aliyemzika huyo maiti ? , Na mwenye nyumba au mwenye kiti wa mtaa au balozi hakuja kushuhudia huyo maiti ? ,Na mbona kwenye huo mkutano huyu mwandishi anadai eti majirani na wapangaji wanasema hawajaona big ,ina maana huyo mtoto alikufa hapo nje na kwenda kuzikwa bila Big kuonekana , ?Acha upuuz mzee ,mwambie jamaaa enu bwana moleli Mbna hajaeleza mtoto wa bigi alizikwa wapi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mlimwambia asimuliie yale mnaita ya muhimu mazishi ya nini tena, nenda kamuulize bigi mwenyewe.Acha upuuz mzee ,mwambie jamaaa enu bwana moleli Mbna hajaeleza mtoto wa bigi alizikwa wapi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Dar mambo ya giza yametamalaki sana.Duuh, nimeghairi kuja kuishi dar aisee, siji.
Wamejipa kazi ngumu kweli kweli, wasome kama story waenjoy mambo ya kukaza fuvu like wanapitia ripoti ya uchunguzi sio.[emoji23][emoji23][emoji23] hao watu wana team yao sasa hivi wameamia kwa sodoku habari na hoja wanarudia kusoma story yake wanamwambia ole wako tukute chai jiandae na umesema story ya kweli
Namimi najiuliza ,kama huyo mtoto alikufa ,walimziba wapi ? , Na mwenye nyumba au mwenye kiti hakuja kushuhudia huyo maiti ? ,Na mbona kwenye huo mkutano huyu mwandishi anadai eti majirani na wapangaji wanasema hawajaona big ,ina maana huyo mtoto alikufa hapo nje na kwenda kuzikwa bila Big kuonekana , ?
Steve Mollel toa maelezo yaliyonyooka hapa
Huo muda unajibu ungefika mbali Mkuu, wewe kandamiza storySoma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.
Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.
BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
Tivu achana na kujibu watu we weka tu story mtu maswali na majibu atajijibu mwenyewe fanya kama hauoni we tuburudishe tuSoma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.
Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.
BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
Woyoooo tivu akeSoma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.
Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.
BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
🤣🤣Hii Story Inawafanya watu watuone Sisi ma BiG tuonekane sio ngoja nilale tuu...View attachment 2518979
Hapana Kuna maeneo Ni muhimu Sasa ayaweke bayana ,na siyo KU escapeMlimwambia asimuliie yale mnaita ya muhimu mazishi ya nini tena, nenda kamuulize bigi mwenyewe.
Haya ndio tunayataka ufafanuz Kama huuSoma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.
Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.
BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
Hpn dada....hili halikubaliki lzm ajibu maswal ya wanna no way ya kukwepa maswali hapaTivu achana na kujibu watu we weka tu story mtu maswali na majibu atajijibu mwenyewe fanya kama hauoni we tuburudishe tu
Hizi story ndio zinafanya wengine tuwaze sana kuishi Bongo. Ni kama kila sehemu kuna mauza uza tu. Sijuagi kama ni kweli au sound tu za wabongo, but I don't wish to find out either. Watanzania ni watu noma sana.