Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Hio sh 50 uloiokota Steve umechukua mikosiiiiiiiii!!
Wachawi/walozi wanapenda sana kutumia pesa za sarafu kwenye shirki zao / maulozi yao
Ilitokea kibibi kizeee au mtu ambae unajua/ kuhisi ni mchawi akakuomba sh 50 ...100 au hata 200 usimpee hio ya coin moja kwa moja mpe Ya note ikiwezekana kubwa kabisa akatafute chenchi mwenyewe akurudishie yeyee!!
Giza lina mauzauza sio poaahhh!!

Hizi story ndio zinafanya wengine tuwaze sana kuishi Bongo. Ni kama kila sehemu kuna mauza uza tu. Sijuagi kama ni kweli au sound tu za wabongo, but I don't wish to find out either. Watanzania ni watu noma sana.
 
Acha upuuz mzee ,mwambie jamaaa enu bwana moleli Mbna hajaeleza mtoto wa bigi alizikwa wapi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Namimi najiuliza ,kama huyo mtoto alikufa ,walimzika wapi ? ,ni nani aliyemzika huyo maiti ? , Na mwenye nyumba au mwenye kiti wa mtaa au balozi hakuja kushuhudia huyo maiti ? ,Na mbona kwenye huo mkutano huyu mwandishi anadai eti majirani na wapangaji wanasema hawajaona big ,ina maana huyo mtoto alikufa hapo nje na kwenda kuzikwa bila Big kuonekana , ?
Steve Mollel toa maelezo yaliyonyooka hapa
 
Namimi najiuliza ,kama huyo mtoto alikufa ,walimziba wapi ? , Na mwenye nyumba au mwenye kiti hakuja kushuhudia huyo maiti ? ,Na mbona kwenye huo mkutano huyu mwandishi anadai eti majirani na wapangaji wanasema hawajaona big ,ina maana huyo mtoto alikufa hapo nje na kwenda kuzikwa bila Big kuonekana , ?
Steve Mollel toa maelezo yaliyonyooka hapa

Soma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.

Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.

BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
 
Soma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.

Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.

BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
Huo muda unajibu ungefika mbali Mkuu, wewe kandamiza story
 
Soma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.

Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.

BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
Tivu achana na kujibu watu we weka tu story mtu maswali na majibu atajijibu mwenyewe fanya kama hauoni we tuburudishe tu
 
Soma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.

Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.

BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
Woyoooo tivu ake
 
Soma vema, msiba wa mtoto ulitokea lini na mimi nilienda lini huko? Mimi sikupata kuhani msiba huo.

Na hayo mengine kama ulivyoyasoma yako sahihi sana, ndo maana hiko kipande sijaandika 'The End' kwasababu bado kuna mengi hayajasemwa, tena mengine hata bado hujajiuliza.

BIGI alikuwa wapi wakati wa mazishi? Mtoto alizikiwa wapi? Kina nani walikuwapo hapo mbali na majirani? Yule mkewe naye vipi? Bembela na Shangazi yake walikwenda wapi siku ile mpaka kutopatikana kisha wakaja kurejea siku kadhaa? Na kadhalika na kadhalika. Naomba uningoje kwenye mwendelezo.
Haya ndio tunayataka ufafanuz Kama huu

Mpk hapa tuko sawa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom