Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Watu mnavurugana hatari........ iv kwa haraka haraka yule Bigi hajafa kweli au ndiokuzimia baada ya nafsi yake ya uongo kupigwa kombora na kuangamia koridoniiii......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukipata jirani kama Big umekomaaaa vinginevyo uwe na nyenzo kama Bembela.
 
Bora uje utupe mwendelezo chief maana nimejikuta namuwaza Big mchana kutwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…