Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hayo ni mambo ya kweli kabisa yaliyotokea?
27Nimeishia sehemu ya 6 ipo mpk ngapi
Umenifanya ncheke kwa saut
Baby tena?Baby mambo
Baby ndio poa sana 😜😜😜Baby tena?
Sema aunt mambo?
😛 😛😛💃💃Baby ndio poa sana 😜😜😜
aunt nawaachie wengine
me love you kp❤️
💘💘💘😛 😛😛💃💃
[emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa umenifanya kucheka saaanaMkuu ongeza japo moja aisee mwanzoni nilijua ile mifurushi big wanakunya ndani wanaenda kumwaga nikachukulia poa maana ilikua ndo zangu kipindi flan chuga maji kisoda bas ile mifuko laini ya zamani ilikoma. Kwangu ilikua kila ukiingia kunanuka puu mbaya sjui nlikua nawaza nn mbaya zaid akija mama yeyo nae anafanya yake tunamix tunavizia mtaa umepoa tunaenda kutupa nje mbali kidogo sitasahau mtego niliowekewa na kunaswa mpk nikahama saa kumi usiku sjui naenda wapi life la kukosa ela mtu unakuwa nusu mwehu
Hata Mimi mkuu ninayo ila kusimulia sijui naanzia wapiDunia na visanga vyake vya ulimwengu wa giza!!
Nami nina story ya mauzauzaaaaa kusimulia sasa ndio siweziii[emoji23][emoji23][emoji23]! Dunia ya giza ina mambooo nyieeee[emoji119]!!
Na kumuweka kwa 🚮Namfikiria View attachment 2520166
Nimesoma Episode moko mkuu na Iko powaToeni stress hapa kwa wale ambao hawajawahi soma hii[emoji116]
Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"
UHUSIANO WANGU KIMAPENZI NA HAMIDA Utangulizi. 'Mama watoto' aliridhia mimi kuandika simulizi hii kwa masharti. Moja ya masharti nijitahidi kutoacha mlango / milango wazi itakayoruhusu watu kuunganisha dots... Masharti mengine kwa kuwa ni sehemu ya codes, sintoyaeleza. Hivyo katika simulizi...www.jamiiforums.com
Iko bomba na inaisha. Jamaa anajua kuandika pia.Nimesoma Episode moko mkuu na Iko powa
aisee!Watu wakiacha kurushia maneno wanaoadithia story zitakua nyingi...
Jamani kuadithia ni shuhuli msiwasimange watu.
Mimi nina story kuna mtu wetu wa karibu alikua mnywaji pombe ya kutoshayaani yule hajiwezi.sasa kapelekwa kwa mtaalamu kachinjwa msukule.
Kwa sasa ana 3 weeks tumeambiwa tusubiri miez mi3 kama atarudia.
Kama asiporudia nitaadithia..
Haya mambo acha kabisa...aisee!
Karucee nitag mkuu nimeishia sabaMkuu🤣🤣🤣
upo nyuma sana zote zipo