Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Nisimulie mimi nitauweka kwenye maandishi
 
Nmekuelewa saaana SteveMollel shusa vitu boss
 
Yani wewe jamaa SteveMollel nakuelewa vyema sana...

Dogo zezeta kushnehi....Kanasa kwenye nguzo barazani na 50cent zake....kwa ndumba za shangazi mgeni wa bembela

BIGI amekutwa chali collapsed domo limepinda kama wewe....kwa ndumba za shangazi mgeni wa bembela

Mkewe na BIGI na yeye amsizishwa na usingizi wa ajabu mbaya kwa ndumba za shangazi mgeni wa bembela

Huu mkasa wako kijana naona ni vihoja vingi vinaenda kuibuka na patashika ni nyingi sana, Sijui kama ataachwa salama mtu mwingine hapo....Kwanza wote mliohusika na kuubeba mwili wa BIGI na MKEWE mlitoboa kweli au wewe ulipona kwakua ulipewa dawa ya Kuoga na bembela πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Linda na Obi daah we kweli muhenga
 
We jamaa ni nyuzi zaidi ya mbili hivi unavamia na kuleta uharibifu, hebu balance shobo hakuna aliyekuita humu. Kuwa kama mwanamke na si ujiweke binti mwenye kupelekeshwa na kuvunja ungo. Hakuna mahali alipoandika amekuwekea wewe usome
Yeye anaona kama ni bonge la mjanja kumbe anajichoresha na ushamba wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…