Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Nije nikulinde mamii wakati unasoma.Inatisha bwanah tena ukiisoma usiku
Mimi naisoma kuanzia saa 8 usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nije nikulinde mamii wakati unasoma.Inatisha bwanah tena ukiisoma usiku
Badilisha jina tafadhali halikufai hilo.Mimi jana niliogopa hata kutoka nje nilichofanya nikuhakikisha milango imefungwa vizuri
Watu mna discourage sana, muache mtu aandike kile alichonuwia at first place, atakosolewa baada ya story kuisha, akiwa anaandika baada ya kila criticism story inalala upande wa wale waliopinga, so anakuwa analisha matarajio yao.Yeye mwenyewe msimuliaji anajikaanga ila baada ya wadau ku point out mapungufu ameanza kujirekebisha.
Yaani Mimi ningekuwa mleta story ningeishia hapo...watu wanakera sana.Hivi mkiwa mnasubiria episodes za movie huko Hollywood huwa mnawashurutisha waandaaji? Nyie mnakaangwa nini??? [emoji57]
Mimi nimeanza na kuogopa 😂😂😂Nimesoma hii story nahisi kama nimepanga nyumba moja na big
Kasema anakuwa analinda bodaboda yake anayolaza hapo nje.Nyie mnamuwazia Big me namuwazia huyu jamaa kwan hana mke au familia? Inakuwaje yeye kila siku saa nane au tisa yuko sebulen au yuko macho? Halaf mara zote unazotoka nje sijasikia hata umemshirikisha mke wako au na we mchawi [emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂Wajuaji mshaanza, je big alipolock na kufuli pale koridoni ilikuwa sehemu ya ngapi? Umejiulza kabla hajakulupushwa na jirani mwenye Duka kule dirishani alienda kumgongea babu yako? Note that dhumuni la Uzi the main character ni Biggie asa we unataka asumulie kila kitu, yaani aeleze siku Ile nilikula makande na wife, kesho yake watoto nikapeleka shule ohh jumapili sebuleni wife akatenga ugali tembele? Asa si itakuwa ni tabu kila alichofanya aandike?
😂😂Hauna kifuaWaandishi mna moyo sana! Ingelikua ni mimi naleta ep 02, nikiona magumashi ya kuniandama yananizidi natukana then nafunga mjadala!
Jamii yetu unakuta mtu anajiita big, kumbe ni shoga.Badilisha jina tafadhali halikufai hilo.
Mkuu SteveMollel comment nyingine fanya kuzipotezea tu make zinakera. Mtu anashindwa kuweka umakini ktk kusoma na kufuatilia mtililiko wa matukio na story kwaujumla, then anakuja na arguments na assumptions kibao eti kwanini mkeo/familia yako hujaiweka kwenye story mpaka epsode ya 7??!! so what?
Siku hizi jf imevamiwa na viumbe wa ajabu ajabu sana. Waandishi mna kazi make inahtaji moyo wa chuma kuendelea kushusha epsodes huku ukitakakiwa kujibu comments za kukeresha toka kwa members.
Bila shaka mkuu SteveMollel umejionea utofauti mkubwa wa uchangiaji toka kipindi unatuletea #baladhuri mwenye mkono wa chuma na uliporudi upya awamu hii.
Halafu enzi zile wafuatiliaji tulikuwa tunarekebisha hasa kuepuka mijadala inje ya mada na ku quote post ndefu ya story ktk epsode husika ili kufupisha kurasa za thread. Lakini siku hizi mambo yamebadilika sana watu wanageuza