KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Napenda story ila nimechoka
Tuweke wazi Bigi mgangaa ama muuaji
Mxxiew
Tuweke wazi Bigi mgangaa ama muuaji
Mxxiew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumia Akili ww Acha Ujinga wako.Huyu msimuliaji ana vitu vifuatavyo:-
1. Ana kiasi kikubwa sana cha umbea, kuacha uaingizi saa tisa usiku kukaa dirishani kuangalia nani ataingia.
2. Ulinzi ungemfaa zaidi kuliko kazi anayofanya kwa sasa, haiwezekani ukeshe usiku kucha kulinda nyumba kwa niaba ya wapangaji wote ambao hawajakuomba.
Si aende kwny point Bigi ni naniiStory mnataka Alf mnapingapinga kma vipi simulieni nyinyi maboya
Achana nae Kaka Boya huyo.Nimeeleza kwa kina lifestyle yangu na changamoto niliyokuwa nayo kwenye upande wa usafiri wangu na pia udhaifu wa makazi tulokuwapo.
Ungeweza kulala fofofo huku umeacha chombo ambacho hakipo locked na mahali pana kadhia ya vibaka mara kwa mara? Huku miundombinu ikiwa so rafiki?
Anyways mkuu, tunatofautiana maisha, akili na tabia.
Napokea vyote maua na mawe.
Sio kila kichaa anafaa kujibiwa, wenye akili walishakusoma kwanini hulalagi kwa uhuru, potezea we shusha stori mkuuNimeeleza kwa kina lifestyle yangu na changamoto niliyokuwa nayo kwenye upande wa usafiri wangu na pia udhaifu wa makazi tulokuwapo.
Ungeweza kulala fofofo huku umeacha chombo ambacho hakipo locked na mahali pana kadhia ya vibaka mara kwa mara? Huku miundombinu ikiwa so rafiki?
Anyways mkuu, tunatofautiana maisha, akili na tabia.
Napokea vyote maua na mawe.
Human needs are unlimited but means to satisfy them are limited.Summarise then uendelee na shughuli zako, mkuu. Kuna watu wanapenda ikiwa hivi, wataendelea kufuatilia. Quite simple mwanangu, kwanini ujitese.
Kubari kukosolewa wengine humu tuna deal na sanaaWanakosoa ila hawaachi kusoma...na hawaachi kutazama kama mwendelezo umetumwa au lah.
Basi kama hataki kukosolewa asisimulieNinacho kiona baadhi amna uungwana ukiona kitu uja kielewa akipo kwa ajili yako kama huu uzi uelewi achana nao kuna nyuzi nyingi sana JF tafuta ambayo ina endana na wewe tabia ya kukosoa kosoa ni za upinde
Kumbe unapenda story ??subscribed
Wapi Mula MwakibeteWanyakyusa wengi, watu wa Mbeya inawawia vigumu kuandika mpaka wanaandika mbaka, sijui shida nini??
Msamehe tu, ni kheri tuvuke salamaNdio kamlea hivyo. Hao wavulana wa dar wanashida ya kukosa malezi bora.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
vibaya sanKumbe unapenda story ??
Acheni ujinga enyi black people's stori Ni yeye na jirani na sio yeye na mkewe ,, mwengne angeanza zile stori za Mara nilivoachana na big nikaingia ndani nikakuta wife kapika akaniwekea maji ya kuoga nikaoga nikala nikamla na yeye bao nne siku hio alifurahi Sana nikamuomba tigo akakubali 😁 Sasa hio Ni stori inahusu jirani au wewe na mkeJapo ulitambulisha una Mke na watoro ila kwenye story yako inaonyesha upo single muda mwiingi na mkeo nimemuona sehemu ya 7😀😀......baada ya mtoto wa Big kukichafua...... anyway tuendelee
Haya ntakutag nyingine ambazo zimeshaishavibaya san
SawasawaKuna watu wapuuzi humu umughaka umughaka umughaka utadhani yeye pekee ndo msimuliaji JF nzima. Story zake nilishazifatilia napo wajinga walikua wanamsimanga,kumkosoa,kumtukana ila nadhan wengi humu wanataman mleta mada aongelee ngono zaidi kuliko masuala ya jirani yake. Vijana wa hovyo sio kila story ina mnyanduano