Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Tumia Akili ww Acha Ujinga wako.
Hukawi kujiita Msomi na ww Mjinga Mmoja ww.
 
Achana nae Kaka Boya huyo.
 
Sio kila kichaa anafaa kujibiwa, wenye akili walishakusoma kwanini hulalagi kwa uhuru, potezea we shusha stori mkuu
 
Summarise then uendelee na shughuli zako, mkuu. Kuna watu wanapenda ikiwa hivi, wataendelea kufuatilia. Quite simple mwanangu, kwanini ujitese.
Human needs are unlimited but means to satisfy them are limited.

Baba steve shusha aya hakuna kusamalaizi.Simulizi gan inakuwa summary.?

SHUSHA AYA SHUSHA AYA
 
Waleta story apa ndio wanapoanza kuboa...kuleta muendelezo had muanze kuwapigia magoti...wanaanza vizuri baada ya apo mnaanza kuangaika nyie kuwaomba watoe muendelezo...sio sawa kabisa
 
Ninacho kiona baadhi amna uungwana ukiona kitu uja kielewa akipo kwa ajili yako kama huu uzi uelewi achana nao kuna nyuzi nyingi sana JF tafuta ambayo ina endana na wewe tabia ya kukosoa kosoa ni za upinde
Basi kama hataki kukosolewa asisimulie
 
Mollel tuendelee na story yetu ya BIG mtu mbadπŸ˜†
 
Japo ulitambulisha una Mke na watoro ila kwenye story yako inaonyesha upo single muda mwiingi na mkeo nimemuona sehemu ya 7πŸ˜€πŸ˜€......baada ya mtoto wa Big kukichafua...... anyway tuendelee
Acheni ujinga enyi black people's stori Ni yeye na jirani na sio yeye na mkewe ,, mwengne angeanza zile stori za Mara nilivoachana na big nikaingia ndani nikakuta wife kapika akaniwekea maji ya kuoga nikaoga nikala nikamla na yeye bao nne siku hio alifurahi Sana nikamuomba tigo akakubali 😁 Sasa hio Ni stori inahusu jirani au wewe na mke
 
Sawasawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…