Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ndugu Mollel, nimepitia posts nyingi za chalenji humu na nimegundua wengi wao hawana nia mbayaukiangalia kwa jichola 3.Na kuna sehemu yoyote nimekuandikia kuwa ni kweli? Au hisia zako tu?
Nakushauri uwe na moyo wa kiume na uhesabu kama changamoto za kukufanya uwe bora zaidi katika utunzi au usimuliaji wako.
Mwisho; kuwa mwanaume usiyeondolewa kwenye lengo kirahisi