Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Yani kuna watu wanajua kukatisha tamaa wenzao eeeh.
Comment zinaonyesha ni jinsi gani akili za watu zimetawaliwa na ngono.
Tuacheni ujuaji na ubinafsi muhusika mkuu kweny stry ni BiG lkn wapumbavu wengi wanataka mke wa jamaa ndo atajwe,
Mbona watu humu ndani washenzi kias hiki.

Kusoma haujalazimishwa iwe imetungwa au haikutungwa sasa kisebengo na kisedemnede cha nin alf sana wanaume ndo wanashobo kali kweli wakiitwa wenzetu wanachukia.
Ukiona stry ya mwenzio haifai tunga yako tuone kama utawezana punda maji ww.[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Na nyinyi madogo mnakera aiseèeeeh aaha, yaani kila mtu anaongelea hoja hii hii.
 
Kwa kweli kila naposoma story hii kwenye mhusika Big inakuja taswira ya huyu hapa dah sijui kwanini!
 

Attachments

  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    68.5 KB · Views: 29
Nimeeleza kwa kina lifestyle yangu na changamoto niliyokuwa nayo kwenye upande wa usafiri wangu na pia udhaifu wa makazi tulokuwapo.

Ungeweza kulala fofofo huku umeacha chombo ambacho hakipo locked na mahali pana kadhia ya vibaka mara kwa mara? Huku miundombinu ikiwa so rafiki?

Anyways mkuu, tunatofautiana maisha, akili na tabia.

Napokea vyote maua na mawe.
Hii reply inaashiria wewe sio mtu wa kawaida
 
Hadithi yangu mbovu na ya kijuaji ni ipi??-- roho yako ni mbaya tu kama korosho.

Kutoa maoni imekuwa nongwa??

Truly, blackness of a black man skin does not merely rest on his skin but also in his brain.--- what you expose is a sure sign of blackness in your grey matter.
Do you mean 2 tell us you are a white man..??
 
Tayari ameisha fanyia kazi kipengele hicho. Ameanza kumuingiza na mkewe. Bado mtoto wake, baba na mama mkwe wake. Na wazazi wake hawa nao asiwasahau sana maana atatupa shida ya kuanza kumkumbusha kuwa je hakuwa na wazazi au wakwe.
😂😂😂😂
 
W
Aisee nchi ina vijana hatari sana, walimtaka mke mke kawekwa wamesema kawekwa unnecessarily damn, jamaa kasema mkewe ana mimba Mf's watakuja sasaivi kusema mbona hukutuambia ulivyomkaza
akajaa, wanadamu hawana jema, and this is the true definition of the society we live in. The communities are fckd up, full of snitches and Mf's who always think of you negatively no matter what good you do to them, take it or leave it this country is full of b>ch a$$ ni66as. Somo la kujifunza, do whatever you do ila kumbuka in whatever you do YOU'RE ON YOUR OWN.... Remember that, always always...
Watauliza mimba alipata kule walikohama au hapo Goba vipi mbona hujasma kama alikuwa anatapika tapika 😂😂😂
 
Wakosoaji walitaka jamaa asimulie kua

, Wakati namnyandua mke wangu nikasikia kishindo nje nikachomoa rungu nikakimbilia dirishani, nilipoona hakuna kitu nikarudi nikaendelea kumpelekea moto mke wangu
😂😂😂😂
 
Majira ya jioni tunaendelea.
Mkuu SteveMollel ulicheza vizuri sana kutuletea hii bonus story.
Hakika imekukusanyia followers kibao kuliko matazamio...!

Keep it up mjuba!
Nayaona mafanikio yako in fore future. Hawa wajinga wanao diss ndo mabalozi wazuri wa kazi zako na najua unajua hawaujui umalidadi wako katika hizi anga za utunzi...
Tuwape muda waendelee kufukunyua tungo zako...
 
Do you mean 2 tell us you are a white man..??


I'm a typical as black as an ebony, the case is; exposing a general truth as to how We are is one way one could know his/our innermost general behaviours and attitudes, most of we (bkack men) are self centred, selfish, egoists etc realising so one could find a way for self reparations, that's my purpose.
 
Kuna mtu kule juu kauliza eti kama bigi yupo jf, mwingine kamwambia mleta mada kuwa eti saa sita imefika bigi anamsubiri korongoni waende wakayajengenge 😂😂😂, daaah Tanzania ni hatari sana aisee 😂😂😂, wao wanajua kila kitu yan we wape kichwa cha habari maelezo watajazia wenyewe daaah acha kabisa
🤣🤣🤣🤣Sikuona hyo sema kuna watu humu ndani 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom