Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ukianza kusoma stori unaweza kudhani jamaa alikua na jirani mchawi kumbe alikua na jirani anaeacha mlango wazi na kumfanya jaamaa aogope pikipiki yake kuibiwa
Mi nahisi big ni mwizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukianza kusoma stori unaweza kudhani jamaa alikua na jirani mchawi kumbe alikua na jirani anaeacha mlango wazi na kumfanya jaamaa aogope pikipiki yake kuibiwa
Sawasawa..Yani kuna watu wanajua kukatisha tamaa wenzao eeeh.
Comment zinaonyesha ni jinsi gani akili za watu zimetawaliwa na ngono.
Tuacheni ujuaji na ubinafsi muhusika mkuu kweny stry ni BiG lkn wapumbavu wengi wanataka mke wa jamaa ndo atajwe,
Mbona watu humu ndani washenzi kias hiki.
Kusoma haujalazimishwa iwe imetungwa au haikutungwa sasa kisebengo na kisedemnede cha nin alf sana wanaume ndo wanashobo kali kweli wakiitwa wenzetu wanachukia.
Ukiona stry ya mwenzio haifai tunga yako tuone kama utawezana punda maji ww.🤨🤨🤨🤨
Tunataka story yenye asilimia fulani ya ukweliKwa hiyo mnataka atajwe au asitajwe?
Povu lote hili kisa story ya kutungwa? Ungewekewa mchakato wa kulima parachichi hadi kuvuna usingekuwa serious hivi kufatilia. Wacha ujinga wewe, fanya mambo ako na maana uache ukora wakoYani kuna watu wanajua kukatisha tamaa wenzao eeeh.
Comment zinaonyesha ni jinsi gani akili za watu zimetawaliwa na ngono.
Tuacheni ujuaji na ubinafsi muhusika mkuu kweny stry ni BiG lkn wapumbavu wengi wanataka mke wa jamaa ndo atajwe,
Mbona watu humu ndani washenzi kias hiki.
Kusoma haujalazimishwa iwe imetungwa au haikutungwa sasa kisebengo na kisedemnede cha nin alf sana wanaume ndo wanashobo kali kweli wakiitwa wenzetu wanachukia.
Ukiona stry ya mwenzio haifai tunga yako tuone kama utawezana punda maji ww.[emoji2955][emoji2955][emoji2955][emoji2955]
Daaah 😂😂😂😂😂, vijana wana mambo sana mkuuHoja yao wanataka wife awe anamuamsha jamaa, kumpelekea maji bafuni...mbaya zaidi wife kapika siku moja tu maharagwe ila hawajawahi piga msosi humo ndani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alieenda mpaka chin ya bahari, stori ilikuwa ya moto sanaKaka unanikumbusha humu Jf. Kuna jamaa alileta stori yake ya kusaka utajiri Kwa njia za kishirikina. Alienda mpaka Congo kupitia Kigoma. Baadae akakataa kuendelea kuandika akadai Kuna watu wamesema akiendelea watamuua. Akapost na sms za vitisho alizokuwa anatumiwa. Yule jamaa popote alipo natamani nijue stori yake mpaka mwisho.
Kuna mtu kule juu kauliza eti kama bigi yupo jf, mwingine kamwambia mleta mada kuwa eti saa sita imefika bigi anamsubiri korongoni waende wakayajengenge 😂😂😂, daaah Tanzania ni hatari sana aisee 😂😂😂, wao wanajua kila kitu yan we wape kichwa cha habari maelezo watajazia wenyewe daaah acha kabisaYani kuna watu wanajua kukatisha tamaa wenzao eeeh.
Comment zinaonyesha ni jinsi gani akili za watu zimetawaliwa na ngono.
Tuacheni ujuaji na ubinafsi muhusika mkuu kweny stry ni BiG lkn wapumbavu wengi wanataka mke wa jamaa ndo atajwe,
Mbona watu humu ndani washenzi kias hiki.
Kusoma haujalazimishwa iwe imetungwa au haikutungwa sasa kisebengo na kisedemnede cha nin alf sana wanaume ndo wanashobo kali kweli wakiitwa wenzetu wanachukia.
Ukiona stry ya mwenzio haifai tunga yako tuone kama utawezana punda maji ww.🤨🤨🤨🤨
[emoji23][emoji23][emoji23]Majambazi wenzake BIG wanamtetea kwa nguvu zote
Ushauri kwa mods na developers wa jf, waweke option kwa muanzisha uzi ya kuzuia comment
na option ya kumtoa mtu kwenye uzi wakoUshauri kwa mods na developers wa jf, waweke option kwa muanzisha uzi ya kuzuia comment
Samahani naomba kukuulizamwandishi achana na hii stor ..
kwanza ishakushinda sjui lengo lako kubwa la hii stor ninini?
unatuchanganya hujui pangilia matukio na wahusika wake Kuna vipande havina umuhimu vinarefusha stori lakini unaviweka tukio moja katika stori unazunguka Sana kulieleza
mwisho wa yote stori ni yakutunga kubali kataa ukweli unaaonekana matukio ya stori yako yanakifunga we mwenyewe
Hii ni ubaguzi, waweke option inayomlazimisha mleta uzi wa story kama hizi lazima alete story full ( mambo ya ..itaendelea yasiwepo ndio yanaleta shida sana.Ushauri kwa mods na developers wa jf, waweke option kwa muanzisha uzi ya kuzuia comment
Kuna stori zingine sio za kutoa mara moja msomaji atachoka na itakosa mvuto, Ni sawa na kusema Series za movie zisiwe na epidodesHii ni ubaguzi, waweke option inayomlazimisha mleta uzi wa story kama hizi lazima alete story full ( mambo ya ..itaendelea yasiwepo ndio yanaleta shida sana.
Baambie baelewe my mdogoYani kuna watu wanajua kukatisha tamaa wenzao eeeh.
Comment zinaonyesha ni jinsi gani akili za watu zimetawaliwa na ngono.
Tuacheni ujuaji na ubinafsi muhusika mkuu kweny stry ni BiG lkn wapumbavu wengi wanataka mke wa jamaa ndo atajwe,
Mbona watu humu ndani washenzi kias hiki.
Kusoma haujalazimishwa iwe imetungwa au haikutungwa sasa kisebengo na kisedemnede cha nin alf sana wanaume ndo wanashobo kali kweli wakiitwa wenzetu wanachukia.
Ukiona stry ya mwenzio haifai tunga yako tuone kama utawezana punda maji ww.🤨🤨🤨🤨
pamoja mwamba tuko pamoja nawe andika stori unavyotaka wewe anaetaka iwe kama anavyotaka yeye ataandika yake.Majira ya jioni tunaendelea.