Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Na nyinyi madogo mnakera aiseèeeeh aaha, yaani kila mtu anaongelea hoja hii hii.
 
Hii reply inaashiria wewe sio mtu wa kawaida
 
Do you mean 2 tell us you are a white man..??
 
Hii Tabia mtu akileta kisa chake Au hadithi yake watu wanaanza kuropoka nakudiss, hivi hii Tabia chanzo chake ni nini?!
Mtu anasoma vizur tu then anaanza kubishana na msimuliaji duh! Et Anaweka dought.
Huu ndio uchawi wenyewe.
Uchawi+ujinga= jobless
 
Tayari ameisha fanyia kazi kipengele hicho. Ameanza kumuingiza na mkewe. Bado mtoto wake, baba na mama mkwe wake. Na wazazi wake hawa nao asiwasahau sana maana atatupa shida ya kuanza kumkumbusha kuwa je hakuwa na wazazi au wakwe.
😂😂😂😂
 
W
Watauliza mimba alipata kule walikohama au hapo Goba vipi mbona hujasma kama alikuwa anatapika tapika 😂😂😂
 
Wakosoaji walitaka jamaa asimulie kua

, Wakati namnyandua mke wangu nikasikia kishindo nje nikachomoa rungu nikakimbilia dirishani, nilipoona hakuna kitu nikarudi nikaendelea kumpelekea moto mke wangu
😂😂😂😂
 
Majira ya jioni tunaendelea.
Mkuu SteveMollel ulicheza vizuri sana kutuletea hii bonus story.
Hakika imekukusanyia followers kibao kuliko matazamio...!

Keep it up mjuba!
Nayaona mafanikio yako in fore future. Hawa wajinga wanao diss ndo mabalozi wazuri wa kazi zako na najua unajua hawaujui umalidadi wako katika hizi anga za utunzi...
Tuwape muda waendelee kufukunyua tungo zako...
 
Do you mean 2 tell us you are a white man..??


I'm a typical as black as an ebony, the case is; exposing a general truth as to how We are is one way one could know his/our innermost general behaviours and attitudes, most of we (bkack men) are self centred, selfish, egoists etc realising so one could find a way for self reparations, that's my purpose.
 
🤣🤣🤣🤣Sikuona hyo sema kuna watu humu ndani 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…