Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Mh BIGI huyu hataki aongelewe
 

Hee hiii noma
Alooo
 
Nasoma hii story navuta picha nyumba niyohama Goba...mazingira kama yanafanana

Na hiyo nyumba niliyohama Kuna BIG ila yeye ana gari..kumuona ni nadra mtu wa mishe Sana na upande aliopanga unakaribiana na geti la kutoka nje na ukienda mbele kutoka hapo kwetu Kuna kapori halafu Kuna korongo na Kuna mto ....
Hizi story zingine zinafanana na mazingira ya Kweli duuh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…