Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Yaani na kule haijaisha hata sijui itakuwajeBwana Bigi tena[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani na kule haijaisha hata sijui itakuwajeBwana Bigi tena[emoji2]
Sawa mkuu Kwa heshima yako nitairudisha😅😅😅Mkuu Analyse rudisha avatar ya mwanzo jamani mpaka tuizoee hii
[emoji120][emoji3059] Sisi wengine tukiona avatar tuliyoizoea tunajua huyu ni nani sasa avatar mpya unakuja na kusoma jina kumbe huyu AnalyseSawa mkuu Kwa heshima yako nitairudisha[emoji28][emoji28][emoji28]
Mbona mi hujaniambia niirudishe[emoji120][emoji3059] Sisi wengine tukiona avatar tuliyoizoea tunajua huyu ni nani sasa avatar mpya unakuja na kusoma jina kumbe huyu Analyse
Yeah naelewa mkuu[emoji120][emoji3059] Sisi wengine tukiona avatar tuliyoizoea tunajua huyu ni nani sasa avatar mpya unakuja na kusoma jina kumbe huyu Analyse
Kwani huwezi andika kistaarabu hadi utukane? Acha usela mavi dogo.Hee kumamake hiii noma
Alooo
Ile yako ya madudu yananing'inia sijaipenda niliipendaga ile ya mwanzo ya katotoMbona mi hujaniambia niirudishe
[emoji120]Yeah naelewa mkuu
Done[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23] Sawa mdogo wanguIle yako ya madudu yananing'inia sijaipenda niliipendaga ile ya mwanzo ya katoto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sawa mdogo wangu
Nimeona shukrani Analyse ubarikiwe kuwa na moyo mzuri [emoji120]Done
Iyo ya katoto ata siikumbuki[emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu 😊Nimeona shukrani Analyse ubarikiwe kuwa na moyo mzuri [emoji120]
Tarimo kanihuzunisha, huenda BIGI alimshtukia anamfuatiliaHii story haitakiwi kusomwa usiku kwa sisi waoga sema tu ni ubishi wetu masikini tarimo