Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Boda yake inalala nje hata mimi wakati sijaweka Geti nyumbani kwangu ikikuwa nalaza mkokoteni wangu chini ya dirisha langu basi nilikuwa silali aisee ukisikia chaka unachungulia lakini hata hivyo kuna siku nikakuta betry imeondoka
 
Halafu mke akilala ndio huwa tunachati na michepuko ukistuka saa8
 
Mambo kama hizi zilinifanya mimi nikaachana na story yangu ‘Nilivyokwenda South Africa bila kuwa na ndugu wala rafiki kule’

Watu humu wana ujuaji mwingi wakati mtu anaelezea story ya kweli ya maisha yake
@Keagan Paul kiukweli ile thread yako ulitukatili sana ila ni changamoto watu hatufanani
 
,lubawa
 
Hili ni tatizo la afya ya akili.. wewe unatakiwa ikamatwe ufungwe na kamba mikono nyuma na miguu yote miwili upakiwe kwenye ambulance huku ikipigwa ng’ora kwa speed kali.. upelekwe Milembe
 
Tushakubaliana kuwa humu ndani kuna wajinga wengi sana mkuu.
 
Jamaa alikatisha story na kuhamia telegram, baadhi tuliamua kumfuatilia huko huko hadi mwisho wa story.
 
SteveMollel wakikuzingua zaidi twende Telegram, anzisha channel ufunge comments sie tutajiunga na kukufuatilia huko, yaan hapa ukitazama episode ya mwisho uliyoitoa iko mbali sana inamlazimu mtu kuingia kila page kutafuta kama kuna muendelezo ad tunakata tamaa 🙁
 
Jioni ndio hii
twasubiri episode kama 4 hivi
 
Story imejaa sana uongo, baada ya watu kuulizia mkeo naona Sasa umeanza kumchomeka kwenye story tena hata sehemu ambayo hakupaswa kutajwa.

UONGO
Truly nmerealize huyu jamaa ni muongo hata kama atakataa ila hii story ni ya kutunga na siyo ya kweli kama asemavyo.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…