Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 1,080
- 2,248
Acha tu mkuuNimecheka kifala sana....we jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu mkuuNimecheka kifala sana....we jamaa
Ni machoko ndioUnaweza dhani ni wanaume rijali kumbe machoko.
Usijali lazima nkutagMadam boss ukumbuke kuni tag
Unyama sana,sema unyookeUsijali lazima nkutag
😆😆😆😆😆asante kwa kunisaidiaMkushi w jani unaitwa na moneytalk nimesaidia kuita na Asanteni mi naenda😁
Subil weekend ntaenda kwa shemeji ako lazima ataninyooshaUnyama sana,sema unyooke
Haya umkubushe akuoe,maswala ya kushinda unaangalia kulfii siyatakiSubil weekend ntaenda kwa shemeji ako lazima ataninyoosha
Nimeishia hapo hapo sisomi vitu vya ajabuUtake ama usitake sisi kusema ni lazima tu mkuu na ukiona unakasirika basi ujue wewe si muungwana. Cheki haya:-
A.Mke kwenye intro unae lakini Stori ilivyoanza hukuwa nae (na ikapendeza uwe huna mke). Kuna waliotetea kwamba mke alitajwa kwenye geti limefungwa na Bonge huku ukiwa bafuni. Labda wenzetu hawawezi kusoma maana ulisema ulisogelea madirisha ya waliokuwa ndani (majirani) na mpaka jirani mwenyewe akakuona kabla hujagonga Wala kumwita sasa hapo mke yukwapi?
B.Umesema mke hakukuwA na sababu ya kumtaja maana hakukuwA na sehemu ya mojakwamoja ya yeye kuingia mapema ikaendana na stori. Wakati huohuo umesahau Kuna Stori kibao umezirefusha ambazo basins muunganiko wa mojakwamoja na stori. Mfano story za agenda za mkutano mpaka zilivyowasilishwa, Stori ya mama Bembela, na mifano mingine
C.Unalala kesho yake lakini hakuna hata mke kukuamsha kwenye usingizi mzito. Unatulia dirishani si chini ya nusu saa lakini hakuna hata mke kushtuka siku moja na kushangaa hata akakuuliza kulikoni. Hospital sijui zahanati mkitaka kwenda mke hakushiriki hata kunyanyua gauni la jirani yake lisiingie kwenye tairi ya pikipiki.
D.Bembela ni jirani yako lakini tena Bembela ni mtoto wa huyohuyo jirani yako. Halafu walikuwa wanazozana lakini kumbe kutoka ni Bembela kamleta mtoto apigwe na kwa Big hayupo aliyetoka sasa sijui alikuwa anazozana na nani. Mtoto wa big ulisema ni chizi like lakini hapo mwisho umetaja watoto kukaongezeka tena kama chizi wa pili ambapo umesema mkeo hakuwa akimjua vizuri kwakuwa alikuwa akifungiwa (au ni Mimi nimeshindwa kusoma na kuelewa labda).
E.Kwa macho ya wanawake lakini mkeo hakuweza kuona mke wa Big anavyokukata jicho. Hakuandalii maji, chakula, hakupokei, Wala hamuagani ukitoka. Tufanye hakuwepo kikaoni basi au alisafiri Kipindi chote Cha mauzauza. Una Kazi Fulani unamalizia kwa Laptop lakini... au basi!
Kuna mtu alisema kadiri unavyoirefusha Stori ndo unavyozidi kuiharibu, nimeamini nilipofika sehemu ya 8. Labda tu niseme wazi Mimi sinaga tabia ya kufuatilia maseason au mastori yenye episodes lakini hii ilinivutia kuifuatilia nikaisoma yote. Kusema ukweli ilipofika kwenye unaenda kilabuni kutafuta mbege nikaanza kukosa mvuto ila nikajikaza nikijua mbele itarudi itakuwa nzuri lakini kwa mpaka kufikia sehemu ya 8 niseme tu safari imenishinda nakung'uta matako naaga mashindano rasmi.
Mtanipa summury mtakaomaliza yote
Kuna vitu vingi ambavyo anaandika vinachosha na havina hata maana... apunguze maneno mengi yanayomchosha msimajiJamaa ni mtunzi mzuri anakosa mhariri tu.
🤣🤣🤣🤣🤣 Hapana banaaa! Afu zishafika koments elfu 1 nitamaliza kwel??Badoo sama...nakuona unajibu mapigo😂
Kumbe tunaoteseka ni wengi[emoji23]Basi mkuu nimeiona kwenye JF ya zamani. Hii mpya naona kuna shida mahala. Waheshimiwa wakuu wahusika,JF ya zamani iko vizuri sana,ni rahisi kufika,ni rahisi kufungua iko shap. Yaani kwa ujumla inaeleweka kuliko hii mpya
Tumechelewa sana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naaam aachane na maneno maneno akanyage twendeeeee [emoji23]
AsanteHamna mahali nilisema nina familia kubwa, bali nilisema nilihamia Goba kukidhi ukubwa wa familia maana kule Makonde nilikuwa nakaa kibachelor, kule Goba nikawa nakaa na mwanamke na mtoto.
Na sababu iliyofanya huyo mwanamke nisimtaje ni kwasababu hakukuwa na tukio lolote la kunifanya nimtaje mpaka pale sehemu yake ndani ya matukio ilipowadia, na nikasema kwanini muda wote huo haikuwa hivyo.
Ni kheri tukatulia na kusoma mpaka mwisho, no stone will be left unturned.
Wewe umeshamaliza bila shakaLol hongeraa
Bado kabisa mkuu!!Wewe umeshamaliza bila shaka
kukozoa ndo nini Dk?Kijana Kama SAS unatudanganya unataka tukuache HV hv hapaa utapata ukozoaji mkubwa mno na mm Ni mmoja niliyekukozoa vikali
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app