Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Kweli eeehh!!
Halafu wachawi wanapenda sana mimbaaaa ..vitoto vichanga na watoto wa kiumee wakwanzaa wanaita lango wenyewe!!
Hio ya mke wa Steve kuota imenikumbusha kipindi fulani nilikua nalala na mjamzito.... huyo ndugu yanguu...alikua anaota ota anaweweseka sana ndotoni namsikia kama analalamika kama anatoa sauti fulani ambayo nikiyasikiliza vizuri manenoo siyaelewi anatamka maneno gani!
kwakua Kwakua ni mjamzito namuacha alale nisimkatishe usingizi wake heee akiamka namuuliza mbona kuna muda ulikua umelala nilisikia hivi na vilee nayeye anakumbuka anasema alikua anaota na ndotoni aliwaona watu fulani ila walikua wanamfuata kishari Hivi sasa ile kukimbia ili kuepuka kupambana nao ndio akawa kama analalamika kwa sauti kubwaaa ya kuomba msaaada kwangu nilieko pembeni yake yeye anaona kama ananiita kwa nguvu sana ilhali pia anaona sisikii chochote so anakua a anabaki kuhangaika Huku mimi nasikia tu mtu anatoa sauti fulani ila matamshi siyasikii vizuri!
Mmh nyie haya mambo
 
Biggy, Biggy Poper [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] Big kauwa mtoto wetu, dah!! Oya noma sana
 
Inaendelea...

Naam siku iliyofuata nikaamka asubuhi kama kawaida yangu kuwa wa kwanza kuamka, ile kufungua mlango dah! nikamuona Big akiwa na wenzake kama sita wakiwa vifua wazi huku wamefunga vikaniki wamezunguka duara! Kuangalia vizuri katikati ya duara kuna maiti ya yule mtoto wa jirani ambae tumetoka kumzika jana yake.

Niliamsha wapangaji wenzangu kimya kimya na nikatoa pikipiki yangu kisha nikawapa lifti ili nyumba tumuachie Big maana amezidi. View attachment 2511561
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii ya tukibaki hai nilikua nimeiweka pending isogee sogee kwanza,naona kama naachwa mbali sana,ngoja nianze kukimbia nayo SAA hii ili tuende sawa
Huko jenipha ashaliwa kichwa, Hilda tushamsahau,Bryson mke kamkimbia,Mitchell ni mfungwa,Dr lambert anatumika upande wa mabeberu
 
Kweli eeehh!!
Halafu wachawi wanapenda sana mimbaaaa ..vitoto vichanga na watoto wa kiumee wakwanzaa wanaita lango wenyewe!!
Hio ya mke wa Steve kuota imenikumbusha kipindi fulani nilikua nalala na mjamzito.... huyo ndugu yanguu...alikua anaota ota anaweweseka sana ndotoni namsikia kama analalamika kama anatoa sauti fulani ambayo nikiyasikiliza vizuri manenoo siyaelewi anatamka maneno gani!
kwakua Kwakua ni mjamzito namuacha alale nisimkatishe usingizi wake heee akiamka namuuliza mbona kuna muda ulikua umelala nilisikia hivi na vilee nayeye anakumbuka anasema alikua anaota na ndotoni aliwaona watu fulani ila walikua wanamfuata kishari Hivi sasa ile kukimbia ili kuepuka kupambana nao ndio akawa kama analalamika kwa sauti kubwaaa ya kuomba msaaada kwangu nilieko pembeni yake yeye anaona kama ananiita kwa nguvu sana ilhali pia anaona sisikii chochote so anakua a anabaki kuhangaika Huku mimi nasikia tu mtu anatoa sauti fulani ila matamshi siyasikii vizuri!
Pole sana ila huyo ndugu yako si alijifungua salama? Kama alijifungua salama waache wawange kwa maana hauwaoni wanajitia bize wenyewe tu[emoji28]
 
Hio sh 50 uloiokota Steve umechukua mikosiiiiiiiii!!
Wachawi/walozi wanapenda sana kutumia pesa za sarafu kwenye shirki zao / maulozi yao
Ilitokea kibibi kizeee au mtu ambae unajua/ kuhisi ni mchawi akakuomba sh 50 ...100 au hata 200 usimpee hio ya coin moja kwa moja mpe Ya note ikiwezekana kubwa kabisa akatafute chenchi mwenyewe akurudishie yeyee!!
Giza lina mauzauza sio poaahhh!!
Dui kumbe!
 
Mkuu kama humjui huyu Dr namugari utajisumbua bure sio kwamba dish limeyumba tu Bali liliyumba alafu likaanguka chini na hapo chini halipo kiufupi hakuna channel yoyote inayokamata....ni watu fulani hivil
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji2][emoji2][emoji2]yaani kuna watu humu sipati picha walimu wao walikuwa wanatumia njia gani kuwafundishia ili waelewe japo kidogo wooi[emoji119]


Wewe mwalimu wako alitumia njia gani??, au ulifundishwa na malaika??
 
Hii story ya Big ni vizuri episodes zake ziwe zinaletwa usiku kama huu ndiyo inakua mizuka.
Kuzileta mchana, asubuhi au jioni wala zunakua hazinogi
 
Story imejaa uongo mtupu. Naona leo umeshindwa kutungwa uongo
Kama umegundua kuna uongo basi umeifatilia kwa makini sana kwa kila nukta...na pamoja umegundua kua uongo bado ukuacha kusoma mpaka umemaliza episode ya mwisho pasipo na kuboeka...means nzuri imekubamba mkuu.

Sio kila kitu lazima ukichukulie u-serious..
Wengi tumependezwa na huu uongo..

Mkuu shusha nondo arosto imetukamata
 
Back
Top Bottom