Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Nasemaje!nasemaje mleta Stori ,hakuna anaekulipa hata Stori iishe mwakani hakuna shida
 
Vijana wa Bigi wakiwa mikononi mwa Wazee baada ya Jet kuzima rada.
20230213_184024.jpg
 
Inachosha unaandika vitu havina hata maana , mpaka mtu unaburuza Aya nyingine

Mfano kulikuwa Kuna haja gani ya kufafanua umama ntilie wa bembela? Kuwa anauzia sehemu Fulani sijui anauza mpaka saa sita za usiku mara kubomolewa vibanda duuh!

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kweli mkuu, story anoengeza vitu vingine hata havina maana,
 
Mollel Mollel Mollel...stevemollel jana umezingua kwenye kuahidi uongo....n heri ukatu kimya siku ukiona inafaa kudondosha mzigo ndio udondoshe. Kwa uongo ule wa jana inatafsirka kuwa unatudharau.
[emoji23][emoji23]
 
Kuna jambo nahisi linaendelea kati ya waleta story na uongozi wa hii forum. Haiwezekani kila anaeleta story mwanzo aanze vizuri, akifika epsode ya nne wanapata maruerue.

Waandishi wachache sana kama mtaalam DeepPond huwa halazi damu. Ni mwendo wa mvua za epsode tu na hakuna nafasi ya kutoa wala kujibu comment.

Hawa wengine wanaokuwa wanaogopa mazingaombwe ni viazi kabisa
 
Kuna jambo nahisi linaendelea kati ya waleta story na uongozi wa hii forum. Haiwezekani kila anaeleta story mwanzo aanze vizuri, akifika epsode ya nne wanapata maruerue.

Waandishi wachache sana kama mtaalam DeepPond huwa halazi damu. Ni mwendo wa mvua za epsode tu na hakuna nafasi ya kutoa wala kujibu comment.

Hawa wengine wanaokuwa wanaogopa mazingaombwe ni viazi kabisa
🥱🥱
 
Kwanini mnalalamika wakati mwisho wa hadithi yeye mwenyewe alishauelezea mwanzoni mwa hadithi, alidai aliamua kuhama nyumba na akaenda kuishi nyumba nyingine, angalia hapa; 👇🏻

Jirani Yangu wa kule Goba Hakuwa Mtu wa Kawaida.

Sasa ni miaka miwili imepita, nimehamia na ninaishi kwengine, lakini yale ya kule Goba nayakumbuka vema kana kwamba yametokea jana yake, na huenda mambo hayo nikayakumbuka hata na milele maana ni moja ya visa ambavyo vilinishangaza sana.
 
Hii story ni vile nilisubscribe ndo mana niko active ila mvuto ulishaisha maana kila ujumbe ni wawachangiaji tangu juzi
 
Back
Top Bottom