Akanisimulia ilivokua bana alisema alivoona hivo akaimwaga akakata nyingine Kwani kabegi ilikua kubwa so ilibali.. ikawa the same akarudia tena mara ya tatu ikawa hivohivo sasa yupo anaendelea kujiuliza na kushangaa ghalfa aliona gizaa akaishiwa na nguvu kabisa akadondoka chini jikoni ...sasa nikamwambia basi kata tena kabegi nyingine upike namimi nishuhudie kwa macho yangu make Huku tuliko ni bushiii hatarii so ukihemea mboga unagemea vya wiki nzima! Akafanya hivo bana sasa muda huo mimi nipo sebleni nimekaa nasubiria kuitwa nikashuhudie hayo maji binti yupo jikoni anapika nikasikia sauti ya binti ananiita kama anakabwa hivi au kama hana nguvu kabisa.."Madaaaammmm,,, ,,madammmm.. Mama fulani mama fulani Huku anataja jina la Jr huku muda mwingine anasema niachieeee niachieeeeeee,, madaaaaammmm,,,,, Si nikatoka haraka sebleni nielekee jikoni alipo binti sasa ile nimesimama mlangoni naangalia jikoni naona binti kama anavutaka na mtu au kitu chenye minguvu sanaa nipo naangalia naona naona na kusikia niachieee niachieeee sasa mimi naona moves tu hewani za binti kujitetea kutoka kwenye huyo mtu/ hilo lijitu naona binti anayumba tu pekeake huku analalamika aachiwe yani ilikua kama vile watu wawili wanavutana sasa kila mmoja anamvutia mwenzie upande aliko yeye ila muda huo huyo binti ndio alikua anavutwa sasa huku mimi naona mtu anasema niachieeee huku kama anajinasua kutoka mikononi mwa hilo jitu ila namuona binti tu hiko kitu linachomvuta mimi sikioni huku yeye anakiona! Alisema aliona kama kuku mara anakua ng'ombe mara linageuka kuwa mtu bibi kizee ivoivo kuku ng'ombe bibi kizee
atlas copco