Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

Mimi hua nashindwa kuelewa what is the connection ya mdada wa kazi kumdhuru mtoto wa boss wake ikiwa umemtoa sehemu hata hamuhusiani kwa undugu, yan haya mambo yanatisha, sijui kama ningekua na mambo ya wadada, mi nilivopata mauzauza kidgo walivosogea umri nikawa nikitoka job nawafwata shule, sikulipa school bus mana sikua mbali na shule yao, sasa ndio nawaza wapi napata mwingine
Wachawi huwa wana alama zao usoni kwenye paji la uso wakikutana sehemu lazima wajuane..Pia nimawakala wa shetani so vya kuua kutoa kafara watu kwao ni kawaida sana! Pia wengine Hao wakubwa zao huwa wanaangalia kwenye nyumba anayoishi agent kama kuna watoto/ watu wenye nyota wanazozijua wenyewe so wakiona huyo mtu anawafaa katika masuala yao na agent wao yuko hapo karibu ni kumuelekeza tu cha kufanya.. ndio unashangaa ghalfa Mtoto kakatika! Sina hamuu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
 
Wachawi huwa wana alama zao usoni kwenye paji la uso wakikutana sehemu lazima wajuane..Pia nimawakala wa shetani so vya kuua kutoa kafara watu kwao ni kawaida sana! Pia wengine Hao wakubwa zao huwa wanaangalia kwenye nyumba anayoishi agent kama kuna watoto/ watu wenye nyota wanazozijua wenyewe so wakiona huyo mtu anawafaa katika masuala yao na agent wao yuko hapo karibu ni kumuelekeza tu cha kufanya.. ndio unashangaa ghalfa Mtoto kakatika! Sina hamuu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
Kuna mmoja nimempata majuzi naye ni homa haelewi hasikii ukiita haitiki, usipomuaansha aandae watoto.shule naye analala anaponichosha usipomwambia aoge haogi nikaona huyu nimetafuta jukumu lingine kwangu tena bado unamlipa nikamrudisha mama ake anasema yani ni mchafu hata huku kijijini tukaona akija mjin atabadilika lkn wapi, wanasema mpige, sasa kupiga tena watoto wa watu mtihan
 
Inaitwaje tena nami nikasome
Nilikua namwambia kuhusu hii ya Big ila kuna ile nyingine ya Tukibaki hai tutasimulia ni nzuri sana kaipitie uisome japo Steve hakuimalizia..

Sasa badae alivotulia nikamuuliza pale jikoni ulikua unavutana na Nani??? Akasema Alivomaliza kupika hio kabegi kuitua toka jikoni kuiweka chini tu ile sasa anataka kuibeba ile ananyanyua tu alishangaa anaona mara kuku mara hapohapo anakua ng'ombe mara anageuka kuwa bibi kizee Huku yanamvuta kwanguvu!!
 
Utake ama usitake sisi kusema ni lazima tu mkuu na ukiona unakasirika basi ujue wewe si muungwana. Cheki haya:-
A.Mke kwenye intro unae lakini Stori ilivyoanza hukuwa nae (na ikapendeza uwe huna mke). Kuna waliotetea kwamba mke alitajwa kwenye geti limefungwa na Bonge huku ukiwa bafuni. Labda wenzetu hawawezi kusoma maana ulisema ulisogelea madirisha ya waliokuwa ndani (majirani) na mpaka jirani mwenyewe akakuona kabla hujagonga Wala kumwita sasa hapo mke yukwapi?

B.Umesema mke hakukuwA na sababu ya kumtaja maana hakukuwA na sehemu ya mojakwamoja ya yeye kuingia mapema ikaendana na stori. Wakati huohuo umesahau Kuna Stori kibao umezirefusha ambazo basins muunganiko wa mojakwamoja na stori. Mfano story za agenda za mkutano mpaka zilivyowasilishwa, Stori ya mama Bembela, na mifano mingine

C.Unalala kesho yake lakini hakuna hata mke kukuamsha kwenye usingizi mzito. Unatulia dirishani si chini ya nusu saa lakini hakuna hata mke kushtuka siku moja na kushangaa hata akakuuliza kulikoni. Hospital sijui zahanati mkitaka kwenda mke hakushiriki hata kunyanyua gauni la jirani yake lisiingie kwenye tairi ya pikipiki.

D.Bembela ni jirani yako lakini tena Bembela ni mtoto wa huyohuyo jirani yako. Halafu walikuwa wanazozana lakini kumbe kutoka ni Bembela kamleta mtoto apigwe na kwa Big hayupo aliyetoka sasa sijui alikuwa anazozana na nani. Mtoto wa big ulisema ni chizi like lakini hapo mwisho umetaja watoto kukaongezeka tena kama chizi wa pili ambapo umesema mkeo hakuwa akimjua vizuri kwakuwa alikuwa akifungiwa (au ni Mimi nimeshindwa kusoma na kuelewa labda).

E.Kwa macho ya wanawake lakini mkeo hakuweza kuona mke wa Big anavyokukata jicho. Hakuandalii maji, chakula, hakupokei, Wala hamuagani ukitoka. Tufanye hakuwepo kikaoni basi au alisafiri Kipindi chote Cha mauzauza. Una Kazi Fulani unamalizia kwa Laptop lakini... au basi!

Kuna mtu alisema kadiri unavyoirefusha Stori ndo unavyozidi kuiharibu, nimeamini nilipofika sehemu ya 8. Labda tu niseme wazi Mimi sinaga tabia ya kufuatilia maseason au mastori yenye episodes lakini hii ilinivutia kuifuatilia nikaisoma yote. Kusema ukweli ilipofika kwenye unaenda kilabuni kutafuta mbege nikaanza kukosa mvuto ila nikajikaza nikijua mbele itarudi itakuwa nzuri lakini kwa mpaka kufikia sehemu ya 8 niseme tu safari imenishinda nakung'uta matako naaga mashindano rasmi.
Mtanipa summury mtakaomaliza yote
Summary ya nn kama hutaki story pita kule
 
Akanisimulia ilivokua bana alisema alivoona hivo akaimwaga akakata nyingine Kwani kabegi ilikua kubwa so ilibali.. ikawa the same akarudia tena mara ya tatu ikawa hivohivo sasa yupo anaendelea kujiuliza na kushangaa ghalfa aliona gizaa akaishiwa na nguvu kabisa akadondoka chini jikoni ...sasa nikamwambia basi kata tena kabegi nyingine upike namimi nishuhudie kwa macho yangu make Huku tuliko ni bushiii hatarii so ukihemea mboga unagemea vya wiki nzima! Akafanya hivo bana sasa muda huo mimi nipo sebleni nimekaa nasubiria kuitwa nikashuhudie hayo maji binti yupo jikoni anapika nikasikia sauti ya binti ananiita kama anakabwa hivi au kama hana nguvu kabisa.."Madaaaammmm,,, ,,madammmm.. Mama fulani mama fulani Huku anataja jina la Jr huku muda mwingine anasema niachieeee niachieeeeeee,, madaaaaammmm,,,,, Si nikatoka haraka sebleni nielekee jikoni alipo binti sasa ile nimesimama mlangoni naangalia jikoni naona binti kama anavutaka na mtu au kitu chenye minguvu sanaa nipo naangalia naona naona na kusikia niachieee niachieeee sasa mimi naona moves tu hewani za binti kujitetea kutoka kwenye huyo mtu/ hilo lijitu naona binti anayumba tu pekeake huku analalamika aachiwe yani ilikua kama vile watu wawili wanavutana sasa kila mmoja anamvutia mwenzie upande aliko yeye ila muda huo huyo binti ndio alikua anavutwa sasa huku mimi naona mtu anasema niachieeee huku kama anajinasua kutoka mikononi mwa hilo jitu ila namuona binti tu hiko kitu linachomvuta mimi sikioni huku yeye anakiona! Alisema aliona kama kuku mara anakua ng'ombe mara linageuka kuwa mtu bibi kizee ivoivo kuku ng'ombe bibi kizee
atlas copco
Asante mrembo,umetutendea wema[emoji122]
 
Kuna mmoja nimempata majuzi naye ni homa haelewi hasikii ukiita haitiki, usipomuaansha aandae watoto.shule naye analala anaponichosha usipomwambia aoge haogi nikaona huyu nimetafuta jukumu lingine kwangu tena bado unamlipa nikamrudisha mama ake anasema yani ni mchafu hata huku kijijini tukaona akija mjin atabadilika lkn wapi, wanasema mpige, sasa kupiga tena watoto wa watu mtihan
Wee ni mitihani nakwambia hata usithubutu wala kuhangaika kuwapiga hao mabinti tena wakuja wanaokulelea watoto wako! Ukiwa haupo wanakompaseti kwa watoto either kuwapiga au kutowatendea vema! Bora uwarudishe tu! Tena wahivo wanakuaga wazito kweli kichwani elekeza elekeza nawewe wapii hawaelewiii!!
 
Sitaki kukumbuka kabisa ile siku yanii mie nilikua Kazini bana sasa usiku wa kuamkia hio siku tulipika Chakula mboga ilikua samaki ikabaki. Ile asubuhi nivoamka kujiandaa kwenda Job binti wa kazi nikamuachia maelekezo mchana atakata kabegi wamalizie na ile samaki ilobaki usiku wapike na ugali Kwani hio home walibaki yeye na jr tu!
Sasa nipo kazini mida kama ya saa 6 mchana nikaona napigiwa Simu na housegirl wa jirani madam Noela kadondoka yupo jikoni chini anapiga kelele tu Sisi tumeenda kumuangalia tunamuuliza amekuaje hajibu kitu fanya uje haraka!!
Kutokana na hayo mauzauza aliyokuwa anatokewa mwanzo kwanza niliogopa sanaaaa akili yangu ikimuwazia Mwanangu tu kuwa nisije kuta kamuua mwanangu yani damu ilinichemkaaa hio siku duhh! Kazini sio Mbali sana na home nikachukua boda fastaaa chap kufika chakwanza kuulizia Jr yukwapi na kumtafuta huku nimetoa macho balaa! Kumbe Mtoto alikua zake nje huko anacheza hana hata habari!!
Kuingia ndani namkuta binti sebleni kumuuliza akaanza kunihafithia bana:
Ilikua mida ya saa tano unusu asubuhi alikata kabegi vizuri akaipika vizuri sasa ile ametoa sufuria jikoni kupeleka sehemu ya kutaka kuipakua aiweke kwenye sahani moja kwa moja kwani walikua wanaenda kula muda si mrefu so hakutaka kuiweka kwenye hotpot ndio ilikua mazingaombweee sasa! Alipeleka kwanza sufuria lakabeji akaliweka hio sehemu vizuri sasa akarudi jikoni kufata samaki pia alikua ameipasha ile kufika anakuta sufuria lenye kabegi alizopika limejaa maji hadi juu na mboga Hizo zikiwemo ikumbukwe hapo ndani alikuepo yeye tu Jr alikua nje huko kwa wenzake anacheza hana hili wala like!! Akajiuliza nani kaweka haya majiii???
Duuh mwenzangu unaishi wapi wewe,mbona kuna matukio hadi mchana
 
Akanisimulia ilivokua bana alisema alivoona hivo akaimwaga akakata nyingine Kwani kabegi ilikua kubwa so ilibali.. ikawa the same akarudia tena mara ya tatu ikawa hivohivo sasa yupo anaendelea kujiuliza na kushangaa ghalfa aliona gizaa akaishiwa na nguvu kabisa akadondoka chini jikoni ...sasa nikamwambia basi kata tena kabegi nyingine upike namimi nishuhudie kwa macho yangu make Huku tuliko ni bushiii hatarii so ukihemea mboga unagemea vya wiki nzima! Akafanya hivo bana sasa muda huo mimi nipo sebleni nimekaa nasubiria kuitwa nikashuhudie hayo maji binti yupo jikoni anapika nikasikia sauti ya binti ananiita kama anakabwa hivi au kama hana nguvu kabisa.."Madaaaammmm,,, ,,madammmm.. Mama fulani mama fulani Huku anataja jina la Jr huku muda mwingine anasema niachieeee niachieeeeeee,, madaaaaammmm,,,,, Si nikatoka haraka sebleni nielekee jikoni alipo binti sasa ile nimesimama mlangoni naangalia jikoni naona binti kama anavutaka na mtu au kitu chenye minguvu sanaa nipo naangalia naona naona na kusikia niachieee niachieeee sasa mimi naona moves tu hewani za binti kujitetea kutoka kwenye huyo mtu/ hilo lijitu naona binti anayumba tu pekeake huku analalamika aachiwe yani ilikua kama vile watu wawili wanavutana sasa kila mmoja anamvutia mwenzie upande aliko yeye ila muda huo huyo binti ndio alikua anavutwa sasa huku mimi naona mtu anasema niachieeee huku kama anajinasua kutoka mikononi mwa hilo jitu ila namuona binti tu hiko kitu linachomvuta mimi sikioni huku yeye anakiona! Alisema aliona kama kuku mara anakua ng'ombe mara linageuka kuwa mtu bibi kizee ivoivo kuku ng'ombe bibi kizee
atlas copco
Antonia itabidi sasa na wewe uandike tu uzi wako mamie maana nakuwa namaswali mengi kutaka kujua
 
Back
Top Bottom