Jirani yangu

We unampenda huyo jirAni yako mume wA mtu kukuchunia sio shida ila una muwaza Hadi umemuandikia thread USHAURI mfuate umueleze hisia z
 
Eti huwezi mpenda, yeye ndiyo hawezi kukupenda tena maana ameshakuona na wanaume wengine.
 
Wewe jitahidi umtongoze Leo halafu utanishukuru baadaye 😁
 
Aisee pm yangu ipo wazi kwa ushauri
 
Kinachokusumbua ni ushamba na ww ndio unamtaka pole sana maana skuhizi vijana wanaojielewa hawana muda na madem wabovu
 
Hio familia unayosema unaishi nayo Ni IPI , baba yako na mama yako au ? Sijaelewa
 

Unampenda na yeye Hakupendi, fanya mambo yako achana naye, sifa ya mwanamke anayejielewa ni kungoja atongozwe, sio kujitongozesha.
 
Kama na wewe unamuhitaji jitahidi ujitongozeshe kwake ili aingie kwenye 18 zako, mzidi kuyajenga zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…