Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi

Mjini au kijijini,kesho naweza kuwa mwanza kwa shughuli binafsi,Kama utakuwa tayari au una mawasiliano na madereva wa magari yanayokuja mwanza fanya hivyo ili nikutumie
Mjini kabisa!
Sina dereva yyt namfahamu,but nasikia kuna mabasi ya Iringa to Mwanza sikuhizi, basi nitaenda kuuliza then nitakupa feedback!
Mungu akubariki sana!
 
Hiyo dawa inatibu mpaka madonda ya tumbo na kurekebisha mfumo wa chakula ulio shambuliwa na bacteria virusi na fangasi pia inasafisha mfumo mzima wa damu MATUMIZI YAKE NI KAMA ULIVYO TOLEA MAELEKEZO au mtu anaweza kuchukua hayo majani 15 aka safisha na kuya pikicha au kuya saga ndani ya maji vikombe vitatu hivyo akachuja na kutumia ka robo kikombe mara tatu kwa siku mda huo ulio usema. MUNGU ANATUPENDA SOTE.
 
Asante
Kwenye dose hapa naona kila mmoja ana maelekezo yake.
Anyway,mi naona hii ya robo kikombe ndo salama sbb miti shamba haina kipimo maalumu .
 

Asante mzehe,,ubalikiwe
 
Yaani ukute hata hawa watu wa Tiba mbadala ndo wanatumia hiihii mimea!
Asante sana
 
pain killer
Pitita hapa
Achana na matapeli wanaotaka uwafuate inbox
 
Wazee kumekucha,hii si ule mmea kwa sisi wachaga huwa tunachemshia kwenye supu ya mbuzi,,inazuia gauti???tunaita mombo??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kiswahili unaitwa mvugwa au mzugwa una mambo kibao sana
 
Haya majani yanaitea MZUGWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…