Dr Luu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 489
- 386
Ua ili linaitwa MZUGWA kiingereza CELEUS kisayansi unajulikana kama Coleus forskohlii syn. Plectranthus barbatus (Lamiaceae)Jina la Mmea huu halijulikani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ua ili linaitwa MZUGWA kiingereza CELEUS kisayansi unajulikana kama Coleus forskohlii syn. Plectranthus barbatus (Lamiaceae)Jina la Mmea huu halijulikani
Presha tena?Unaitwa MPATAKUFA/MPATA KUVA.
Sio UTI tu. HATA Typhoid ila Kama Ni mgonjwa wa kisukari au presha Pima Kwanza
Huku uchagani wazee wanachemshiaga majani yake kwenye nyama wakati wakichemsha nyamaVipi na huu? Nasikia pia ni dawa nzuri sana [emoji116] View attachment 1726002
IhomboWakuu kuna mtu ni mwenyeji wa Marangu Kilimanjaro anafahamu jina la huo mmea kwa huku wanaitaje?
Ulikua unayatumiaje mkuuAyo majani Mimi kwa uwezo wa mungu Mimi yalinitibu ulcers
Ihombo
Ndio Pima kwanza presha kabla ya kutumia kwa wale wenye presha ya kupanda.Kama ipo juu usitumie kwani dawa hii hushusha kisukari lakini huipandisha preshaPresha tena?
sio kweli. huu ni mushunjuNdio Kashwagara yenyewe
HahhaaaaaaHuu kijijini kwetu ninmaaruka kwa matumizi kama ya toilet paper
Mkuu tafadhari elezea hapa nikachukue point za ziada. Nimeshampatia dawa moja ila ni ya dharula, nimemtafutia nyingine ya kudumu jana nimeipokea ila sijampatia, sasa ongeza na hii ili tatizo nilikomeshe kabisa. Mara ya mwisho alienda hospitali kwa maumivu
Ahsante sana aiseeWakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki.
Nimekaa na kufikiri ni jinsi gani wazee wetu walikuwa wataalamu Wa tiba asilia lakini walikuwa wagumu sana kufundisha watu wakaribu yao, matokeo yake walikufa na maarifa yao, kwa Leo Mimi sitaki kufanana na hao wahenga.
Tangu nitambue kuwa huu mmea unatibu U.T.I, sasa Nina miaka miwili sijawahi tumia dawa za hospital, ninachokifanya Mimi ni kwenda kupima ili nijue nasumbuliwa na ugonjwa gani, baada ya hapo huwa narudi nyumbani na kuchuma majani haya , nayachemsha na kunywa. Hakika hii ni tiba nzuri sana wapendwa, kamwe hutakaa utake kutumia vidonge vya hospital kwa kutibu U.T.I., ufanisi wake ni zaidi ya % 80.
Matumizi yake ni kama ifuatavyo:
Chuma majani kati ya kumi hadi kumi na tano,baada ya hapo yasafishe kwa maji na kuyaweka katika chombo(sufuria) tia vikombe vya chai vitatu,na injika jikoni hadi yachemke(yatokote), hakikisha maji hayo baada ya kuchemka yanabaki vikombe vitatu, yakishachemka yaepue na toa majani yakae pembeni ili kubaki na kimiminika halisi,kunywa kikombe kimoja kutwa Mara tatu, hakikisha mchemsho unaoutengeneza ni Wa siku moja pekee, tumia dawa hii kwa muda Wa siku tatu hadi tano kwa matokeo yenye ufanisi.
NB. Jina la Mmea huu halijulikani,maana kwa utafiti wangu nimeuliza watu wengi lakini wanaishia kuniambia maua,lakini watu wengi hupenda kuutumia kama fensi/uzio.
View attachment 1725807View attachment 1725809
Ile ya mwanzo ilimponyesha kabisa. Hii sikutumia hata na nishasahau kabisa kwamba nilitaka ifuatie endapo ile ingefeliMkuu tupo mrejesho wa hizo dawa zote
Ile ya mwanzo ilimponyesha kabisa. Hii sikutumia hata na nishasahau kabisa kwamba nilitaka ifuatie endapo ile ingefeli