Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi

Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi

Mimi Kuna wakati nilisumbuliwa na malaria dozi nikamaliza lkn homa ikawa bado Kali sana mpk wkt mwengine napepesuka nikijaribu kutembea lkn ,kuna mtu akanishauri ninywe mchemsho wa huo mmea nikajaribu Mungu akasaidia nikapona kabisa Tena kwa haraka.
 
Wakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki.

Nimekaa na kufikiri ni jinsi gani wazee wetu walikuwa wataalamu Wa tiba asilia lakini walikuwa wagumu sana kufundisha watu wakaribu yao, matokeo yake walikufa na maarifa yao, kwa Leo Mimi sitaki kufanana na hao wahenga.

Tangu nitambue kuwa huu mmea unatibu U.T.I, sasa Nina miaka miwili sijawahi tumia dawa za hospital, ninachokifanya Mimi ni kwenda kupima ili nijue nasumbuliwa na ugonjwa gani, baada ya hapo huwa narudi nyumbani na kuchuma majani haya , nayachemsha na kunywa. Hakika hii ni tiba nzuri sana wapendwa, kamwe hutakaa utake kutumia vidonge vya hospital kwa kutibu U.T.I., ufanisi wake ni zaidi ya % 80.

Matumizi yake ni kama ifuatavyo:

Chuma majani kati ya kumi hadi kumi na tano,baada ya hapo yasafishe kwa maji na kuyaweka katika chombo(sufuria) tia vikombe vya chai vitatu,na injika jikoni hadi yachemke(yatokote), hakikisha maji hayo baada ya kuchemka yanabaki vikombe vitatu, yakishachemka yaepue na toa majani yakae pembeni ili kubaki na kimiminika halisi,kunywa kikombe kimoja kutwa Mara tatu, hakikisha mchemsho unaoutengeneza ni Wa siku moja pekee, tumia dawa hii kwa muda Wa siku tatu hadi tano kwa matokeo yenye ufanisi.

NB. Jina la Mmea huu halijulikani,maana kwa utafiti wangu nimeuliza watu wengi lakini wanaishia kuniambia maua,lakini watu wengi hupenda kuutumia kama fensi/uzio.

View attachment 1725807View attachment 1725809
Pamoja na yote ukizoea kunywa chai ya mchaimchai hutokaa uumwe UTI mimi nyumban kwangu nimesahau ugonjwa huo..huwa nawalazimisha wanangu kila siku kunywa chai kikombe kimoja tu happ hawapend lakin iwe usubuhi au jioni kikombe kimoja cha chai ya mchaichai kinatosha na tumesahau huo ugonjwa hasa
 
tunaomba muongoza wa hiyo ya mwanzo mkuu, nina mdogo wangu anateseka sana kwa kweli
Siijui hata. Niliagiza kwa ndugu yangu mmoja naye alijivuta sana kuiagiza kijijini uko ila iko very effective. Dosage ni kama miezi miwili taratibu na uzito wa yale majani yaliyokaushwa si zaidi ya 3kg. Sidhani kama naweza ipata tena hata nikiitaka mimi mwenyewe
 
Hii ni dawa safi sana,kwetu tunauita mkingili(ikingili) ukiacha magonjwa madogomadogo mengi ambayo mmea huu huweza kutibu kwa mafanikio makubwa nilipata jingine kwa rafiki yangu muhindi,yeye kwake ameyapanda kila sehemu kuzunguka ua wake.

Nikamuuliza kwa nini ameyaweka mengi kuliko maua mengine mazuri? Yeye akanijibu kuwa kwanza ni tiba ya magonjwa mbalimbali,lakini zaidi huwa anayatumia kiimani zaidi, anasema ukiwa na mimea hiyo nyumbani kwako basi watu wenye macho mabaya(ya husda) ambayo huleta madhara kwa watu na vitu hudhibitiwa barabara.

Anasema hata kama mchawi akija kwako kwa lengo baya basi mmea huu humfanya ashindwe kutimiza lengo lake,wachina pia wanauheshimu sana mmea huu kwa sababu kama hizo hizo, wao pia hudai kuwa mmea huu ukiupanda nyumbani huleta bahati njema, wahindi wa jamii ya ki hindu huchuma majani yake na kuyafunga pamoja na majani ya mwembe na kuyatundika mlangoni kama kinga dhidi ya wote wanaoingia ndani ya nyumba zao, hasa siku za sherehe au shughuli zinazokutanisha watu wengi,asante
Mmhhhhh
 
Wakuu kuna mtu ni mwenyeji wa Marangu Kilimanjaro anafahamu jina la huo mmea kwa huku wanaitaje?
Ihombo, Ighombo, Iyombo au Iombo. Majani yake pia Wachagga wanayatumia kwenye supu. Huu ndo ule mmea maarufu huko Madagascar waliogundua kudhibiti COVID 19. Wachaga wengi wanaufahamu sana mmea huu. Majani yake yana harufu fulani kali hv, ni mchungu na una ladha ya uchungu/mwasho kuzidi tangawizi mbichi.Ukitafuna jani moja tu aisee, hahika lazima utatulia mahali kwanza kuvumilia muwasho wake. Lakini ni Tiba ya uhakika kwa matatizo mengi ya tumbo.
 
Wakuu habari za leo ! Poleni na mihangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki.

Nimekaa na kufikiri ni jinsi gani wazee wetu walikuwa wataalamu Wa tiba asilia lakini walikuwa wagumu sana kufundisha watu wakaribu yao, matokeo yake walikufa na maarifa yao, kwa Leo Mimi sitaki kufanana na hao wahenga.

Tangu nitambue kuwa huu mmea unatibu U.T.I, sasa Nina miaka miwili sijawahi tumia dawa za hospital, ninachokifanya Mimi ni kwenda kupima ili nijue nasumbuliwa na ugonjwa gani, baada ya hapo huwa narudi nyumbani na kuchuma majani haya , nayachemsha na kunywa. Hakika hii ni tiba nzuri sana wapendwa, kamwe hutakaa utake kutumia vidonge vya hospital kwa kutibu U.T.I., ufanisi wake ni zaidi ya % 80.

Matumizi yake ni kama ifuatavyo:

Chuma majani kati ya kumi hadi kumi na tano,baada ya hapo yasafishe kwa maji na kuyaweka katika chombo(sufuria) tia vikombe vya chai vitatu,na injika jikoni hadi yachemke(yatokote), hakikisha maji hayo baada ya kuchemka yanabaki vikombe vitatu, yakishachemka yaepue na toa majani yakae pembeni ili kubaki na kimiminika halisi,kunywa kikombe kimoja kutwa Mara tatu, hakikisha mchemsho unaoutengeneza ni Wa siku moja pekee, tumia dawa hii kwa muda Wa siku tatu hadi tano kwa matokeo yenye ufanisi.

NB. Jina la Mmea huu halijulikani,maana kwa utafiti wangu nimeuliza watu wengi lakini wanaishia kuniambia maua,lakini watu wengi hupenda kuutumia kama fensi/uzio.

View attachment 1725807View attachment 1725809
Asante sn
Kwa kulipata ss
 
Unaitwa mzungwa ni dawa ya PID kwa kina dada ni dawa pia ya uzazi kwa wanao tafuta mtoto pia ni dawa ya madonda ya tumbo na mengine mengi tu.

Kwa wale wenye PID unachuma majani yake unayatwagwa maan ukiyachesha unaimaliza dawa nguvu,hvo unachuma majani unayatwagwa na kuyaroweka ndan ya masaa 12 then unatumia kikombe cha chai asubuhi na jioni.

Na kwa wale wenye kutafuta mtoto wanatumia wakat wa priod kuanzia siku unayo ingia adi unapo toka.

Matumiz ni kutwa mara 3 kikombe cha chai unaweza kuyasaga kwa blenda na kutengeneza juice

Ukitumia miezi 3 kama hakuna shida nyingine kwa kizazi basi inshallah utafanikiwa,

inakomaza mayai na inabalance hormon

Hakikisha kushiriki na mwenza wko wakat wa sku za hatari[emoji120][emoji120]
Duh sasa kwa kuupata km huu ndo mtihani manaake yanafanana fanana
 
Oregano hata mimi huwa nachemsha mara kwa mara na kunywa kama chai na kijiko kimoja cha asali. Huwa inaclear sinus na kufungua kifua vizuri sana.

Lakini naona huo uliopandwa hapo ni tofauti kidogo na huu ninaonunuaga. Huo inaonekana majani yake ni makubwa kidogo. Asanteni kwa maarifa haya.

View attachment 1732128
Kwani unauzwa?
 
Back
Top Bottom