Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Mkuu, Hizbu Sharifu, nina changamoto ya social phobia, miaka yote nimekua wa kukaa peke yangu. Faraja ninayoiona ni rafiki wa kijini wa kike wa kupiga naye STORI TU. Awe jini mzuri asiye na masharti.
Nielekeze jinsi ya kumuita au muite kwa niaba yangu.
 

Ndugu yangu utawawesa majini kweli kukaa nao!? Wanamasharti ya ajabu ajabu
 
Hakuna shida kufuga majini bali shida ipo ukizinguana nao

Samahani ikiwa unafanya hivyo kama maelezo yako hapo hakutakuwa na shirki manake kwa mujibu wa shirki ni fitina na kama ukifanya hivyo kama usemavyo na kumjua alie kuronga maana yake fitna kati yao imeshaanza. Kama jini mbaya pengine anamuotesha mtu ambae hana uhusiano wowote na kurogwa Bali huyo jini anataka kuwa fakaranisha tu kati yao. Naomba ufafanuzi wa swali langu


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 

Shiriki na uchawi ni mambo mawili tofauti usichanganye kati ya shirki na uchawi
 
Haya mambo ya kujaribu jaribu ase sio mazuri kunamovie nimetokaa kuiyona hapa aloo hapana jamaa walijaribu kucheza wa truth or dare wamepuputika htr
 
Haya mambo haya,kuna mtu alinishauri ili kuwaona wachawi nichukue majani ya mbaazi na kipande cha mti wake nivifunge pamoja na kipande cha mkaa halaf niweke chini ya mto.......sitorudia tena ule ujinga,wachawi sio wazungu mzee,wanatisha sana!!
 
Haya mambo haya,kuna mtu alinishauri ili kuwaona wachawi nichukue majani ya mbaazi na kipande cha mti wake nivifunge pamoja na kipande cha mkaa halaf niweke chini ya mto.......sitorudia tena ule ujinga,wachawi sio wazungu mzee,wanatisha sana!!
[emoji23][emoji23][emoji23] so uliwaona lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…