Pre GE2025 Jiunge na Harakati za Mabadiliko: CHADEMA Inakuhitaji Leo!

Pre GE2025 Jiunge na Harakati za Mabadiliko: CHADEMA Inakuhitaji Leo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
🇹🇿 CHADEMA ni chachu ya mabadiliko tunayoyahitaji! Ni muda wa kujiunga na harakati kwa vitendo. Jiunge sasa kupitia kadi za wanachama zenye hadhi tofauti: Tanzanite, Diamond, Platinum, Gold, Silver, na Bronze.

Kwa nini ujiunge? 🗳️
✅ Kuwa sehemu ya uamuzi wa kitaifa
✅ Changia harakati za demokrasia
✅ Pata fursa za kushirikiana na wanaharakati wenzako

Kadi unayochagua inaonyesha mchango wako kwa harakati:
💎 Tanzanite: TZS 500,000
💎 Diamond: TZS 200,000
💎 Platinum: TZS 100,000
🥇 Gold: TZS 50,000
🥈 Silver: TZS 25,000
🥉 Bronze: TZS 10,000
Kila mchango unahesabika!

Hatua za kujiunga ni rahisi:
1️⃣ Pakua CHADEMA Digital App kwenye App Store au Google Play.
2️⃣ Chagua kadi unayoitaka.
3️⃣ Lipa kupitia njia za kidijitali.
Ni rahisi!

Msaada unahitajika? Wasiliana nasi kupitia namba 0654714343 kwa maelezo zaidi au msaada wa usajili. Tupo hapa kwa ajili yako!

Tunaweza kuleta mabadiliko! Jiunge leo, toa mchango wako, na uwe sehemu ya historia. Pamoja tunaweza kujenga taifa lenye haki na usawa.

🎯 Je, umejiunga? Tuambie kadi uliyochagua! Hebu tuhamasishe wengine kujiunga katika harakati hizi. Tunahitaji kila mmoja kwa safari hii. 🇹🇿✊

#JiungeNaCHADEMA #WanachamaWenyeNguvu #MabadilikoYaKweli #CHADEMA2025
Subiri kwanza Tupate mwongozo kutoka kwa Utawala Mpya.

Tusije changa kumbe zinachepukia kwa kina Wenje.😃😃
 
Mtueleze kwanza hela za join the chain ziko wapi? Chadema kila siku mnasema CCM imewafanya watanzania kuwa maskini, sasa leo wamegeuka matajiri mnawaomba michango? Acheni utapeli.
Suala la hela za join the chain bila shaka lilitolewa ufafanuzi na katibu mkuu wa chama recently.

Suala la CCM kuwafanya watanzania kuwa maskini hilo ni kweli na halina shaka ndani yake
 
Chadema ilikuwa chini ya ukoloni.

Sasahv ndio kama imepata ukombozi.

Within 5 next years CHADEMA itakuwa strong bila kutegemea hizi hela za uanachama kama main source of income
Okay
 
But he doesn't hold the organization vision...

Hii kampeni ya Changia CDM sijui nini, ni one of the failure ya leadership.

Huwez kuhamasisha watu wawe wanachaplma pekee... you will never make it...

Chama kama CDM ina wepenzi wengi na washabiki, na sio kwamba hawaoni umuhimu wa kuwa mwanachama, issue hapo ni risky involved ..

Hata wanaoipigia debe mitandaoni wanajinasibu kwamba mimi sina chama chochote cha siasa.. blabla..

Tap on that!
Mbona namba za kuchangia zimewekwa account na M pesa number ila ukitaka kuwa mwanachama ndio hayo mambo ya kulipia kadi kama zilivyoorodheshwa.

Mbowe waliingiza pesa nyingi sana kupitia michango ila kulikua na upigaji mwingi. Hata training tu ngazi ya wilaya hadi atumwe ofisa wa makao makuu!!

Ila kwa kuwa Lissu ni msafi na Mnyika ni msafi basi tutarajie kila senti kutumika kihalali
 
Jambo jema
🇹🇿 CHADEMA ni chachu ya mabadiliko tunayoyahitaji! Ni muda wa kujiunga na harakati kwa vitendo. Jiunge sasa kupitia kadi za wanachama zenye hadhi tofauti: Tanzanite, Diamond, Platinum, Gold, Silver, na Bronze.

Kwa nini ujiunge? 🗳️
✅ Kuwa sehemu ya uamuzi wa kitaifa
✅ Changia harakati za demokrasia
✅ Pata fursa za kushirikiana na wanaharakati wenzako

Kadi unayochagua inaonyesha mchango wako kwa harakati:
💎 Tanzanite: TZS 500,000
💎 Diamond: TZS 200,000
💎 Platinum: TZS 100,000
🥇 Gold: TZS 50,000
🥈 Silver: TZS 25,000
🥉 Bronze: TZS 10,000
Kila mchango unahesabika!

Hatua za kujiunga ni rahisi:
1️⃣ Pakua CHADEMA Digital App kwenye App Store au Google Play.
2️⃣ Chagua kadi unayoitaka.
3️⃣ Lipa kupitia njia za kidijitali.
Ni rahisi!

Msaada unahitajika? Wasiliana nasi kupitia namba 0654714343 kwa maelezo zaidi au msaada wa usajili. Tupo hapa kwa ajili yako!

Tunaweza kuleta mabadiliko! Jiunge leo, toa mchango wako, na uwe sehemu ya historia. Pamoja tunaweza kujenga taifa lenye haki na usawa.

🎯 Je, umejiunga? Tuambie kadi uliyochagua! Hebu tuhamasishe wengine kujiunga katika harakati hizi. Tunahitaji kila mmoja kwa safari hii. 🇹🇿✊

#JiungeNaCHADEMA #WanachamaWenyeNguvu #MabadilikoYaKweli #CHADEMA2025
 
Mbona namba za kuchangia zimewekwa account na M pesa number ila ukitaka kuwa mwanachama ndio hayo mambo ya kulipia kadi kama zilivyoorodheshwa.

Mbowe waliingiza pesa nyingi sana kupitia michango ila kulikua na upigaji mwingi. Hata training tu ngazi ya wilaya hadi atumwe ofisa wa makao makuu!!

Ila kwa kuwa Lissu ni msafi na Mnyika ni msafi basi tutarajie kila senti kutumika kihalali
Mnyika na Lissu ni wasafi?😂😂😂

Okay
 
Yes umewahi sikia scandal gani ya ufisadi kwa hao wawili? Hata lissu alimu attack Mbowe na wenje kwa ufisadi ila Mnyika hajawahi kuhusika na ufisadi.
Kaka with all the due respect achana na mambo ya kusifia binadamu... Just achana nayo....

Usafi na Uchafu wa mtu ni suala la Muda...

Wachana kabisa na suala la kuita watu wasafi kwenye siasa.... Mengine tunayajua tunakaa kimya.

Hata hivyo Hoja za CDM kufanya fund raising ya zima moto doesn't resonate well with me.
 
Kaka with all the due respect achana na mambo ya kusifia binadamu... Just achana nayo....

Usafi na Uchafu wa mtu ni suala la Muda...

Wachana kabisa na suala la kuita watu wasafi kwenye siasa.... Mengine tunayajua tunakaa kimya.

Hata hivyo Hoja za CDM kufanya fund raising ya zima moto doesn't resonate well with me.
Zima moto ndio nini? Kwani kilipoanzishwa miaka zaidi ya 30 iliyopita kiliendeshwaje na hakikuwa na ruzuku kubwa kwa miaka kama 15 ya kwanza. Kwahiyo ukishakua na capital ya wanachama million 1+ huwezi sema changizo ni zimamoto wakati hata USA vyama vinalipiwa membership card
 
Zima moto ndio nini? Kwani kilipoanzishwa miaka zaidi ya 30 iliyopita kiliendeshwaje na hakikuwa na ruzuku kubwa kwa miaka kama 15 ya kwanza. Kwahiyo ukishakua na capital ya wanachama million 1+ huwezi sema changizo ni zimamoto wakati hata USA vyama vinalipiwa membership card
Tuupe Muda na wakati nafasi.

Thanks
 
Back
Top Bottom