Jiunge nami kusema hapana kwa udhalilishaji na ubaguzi anaoufanya mmliki wa clock tower café Iringa

Ndio maana mimi napigaga msosi five stars hotels tu. Nikisikiaga njaa naibukaga dubai tu
naona tatzo lako la stroke ya akili limerudi tena, pole sana amka ujiandae uende kwa gwaima ukapate maombi, pili acha kufunga muumba anajua haya matatzo yako, haya sasa umekula daku lijisaa lililipita asaiv swaumu ishaleta stroke ya ubongo, wana jf naombeni radh kwa huyu ndugu yangu kila anapokosea, ana matatzo ya ubongo hasa akimaliza dk 30 bila kula.
 
Watu wanajua kujitangaza aiseee

Hongera advocate!
 
Tatizo la wanasheria jambo dogo maneno mengiiii, inachosha kusoma!
 
Kuwa mstaarabu na kuwa na roho ya ubinadamu wewe ukibanwa na uharisho katikati ya posta pale city center utajinyea barabarani au utaenda kuomba huduma ya choo ya pale stears? Na unavyohisi unaweza kunyimwa Huduma Ya Toilet sababu Hujanunua chakula chao? Mtu muungwana hawezi fanya hayo daima. Nyie ndio mnaoweza kumpa lifti nyani binadamu mkamuacha njiani sababu tu yeye nae ni mtu kwanini asiwe na gari yake. Jifunze hekima utaish na watu vyema
 
Zuberi Ngoda ni wakili mkongwe, amesoma na kuishi US muda mrefu! Aliporudi Bongo alianza kufundisha sheria ikiwemo SAUT!

Ni Muslim mwenye misimamo mikali. Amewahi kuvunja furniture za mahakama (DLHT) pale Iringa baada ya kuhisi anaonewa.

Huyu jamaa sio legelege au kanjanja kama inavyohisiwa!
 
Wakili wenyewe ndo hawa wa vyuo hivi ninavyoviona? We acha kabisa hamna kitu.... Weupe sana na huu ni mfano tosha. Huyu unamwambiaje akutetee yeye tu kujitetea ameshindwa? Anakuja hapa analia lia asaidiwe.

Zuberi Ngoda ni wakili mkongwe, amesoma na kuishi US muda mrefu! Aliporudi Bongo alianza kufundisha sheria ikiwemo SAUT!

Ni Muslim mwenye misimamo mikali. Amewahi kuvunja furniture za mahakama (DLHT) pale Iringa baada ya kuhisi anaonewa.

Huyu jamaa sio legelege au kanjanja kama inavyohisiwa
 
Alaf wew mtoa mada usituchoshe, pengine ulipita direct bila kusalimia ukaenda washroom. What do you expect
 
Hakika mkuu
 
Kuepuka hizi Kero za Haja tumia vyoo vya umma. Kimtazamo umeona jamaa kakubagua lakini inaweza isiwe hivyo. Watu wengi hawana ustaarabu wa kutumia maliwato(Choo) wakijisaidia kusafisha(ku-flush) huwa ni shidaa, kitendo ambacho kimekuwa ni kero kwa wanaomiliki vyoo haswa vya migahawani kwani inawaharibia sifa kwa wateja. Sasa kama wewe si mteja alafu umeenda kutumia choo tu na kutoka basi lazima utakutana na kadhia kama hiyo.
 
Nakubaliana nawe 💯
 
Mimi nahisi kuna chuki binafsi huyo mmiliki anayo dhidi yako. Inaweza ya moja kwa moja au ameletewa na wabaya wako.
Pili: inawezekana unapopata huduma hapo kuna tabia ambayo aidha huwa unawakera wafanyakazi na wanamlalamikia boss wao sasa siku ulipoingia hapo wakamwambia; ni huyu boss!!
Tatu: Kuna uwezekano katika shughuli zako za uwakili ushamsaidia mtu akashinda kesi ambayo huyo Mwarabu alikuwa mnufaika au alitaka ashinde kwa mizengwe
NB: Shukru amekuambia direct kuliko kukuwekea sumu
 
Ndugu nakuomba uedit huu uzi uwe mfupi Watanzania ni wavivu kusoma thread ndefu. Wao ukiweka uzi wa majungu watausoma hata kwa masaa mawili na kukomenti
 
Ilipaswa kuwa very racist
 
Kama unaona umekuwa defermed/kudhalilishwa kafungue kesi....wakili unapaswa kuwa aggressive bana...sio unalia lia.....vitu kama hv sio vya kuweka public hata wateja wako wanaweza kukosa imani na ww....
 
Huo unaosema wewe ndo sio ustaarabu...mtu ameweka choo kwa ajili ya biashara yake then wewe ambae si mteja unataka ukatumie tena usivyo na akili unaona kabisa eti una haki zote za kukitumia...umeambiwa kile ni public toilet????...kama umezidiwa si kuna vyoo vya kulipia or unafikiri vyoo vya kulipia vimewekwa sababu ya kina nani...na ukiruhusu kila mtu anayebanwa atumie hicho choo unafikiri sehemu zenye mzunguko tena mkubwa wa watu kama huo nini kitakachotokea si watu watageuza public toilet...jifunzeni kuheshimu biashara za watu kama wewe umebanwa nenda kaombe tena omba kabda hujaingia nauhakika kwa binadamu yoyote mwenye akili timamu atakuruhusu but sio tu unafika unaingia wakati wa kutoka unaulizwa unadai mimi huwa nakuja kula hapa alafu unaondoka...tena kama ni mtu mstaarabu kama umeingia bila ruhusa ukitoka jifanye unanunua hata vimaji vidogo vile vyakunywa nauhakika hakuna atakaekuuliza but si kuleta ujuaji...kama we umebanwa kweli siku moja ingia choo cha bank alafu uulizwe useme mi nakuwaga mteja wa hii bank huwa nakuja kuingiza na kutoa hela hapa then uone kitakachotokea...tena huyo mwenye iyo restaurant mstaarabu sana ingekuwa ni mimi li mtu halijulikani lilipotoka linakuja kuingia kwenye restaurant yangu bila ustaarabu na kujiingilia chooni alafu linatoka unaliuliza linakupa majibu kama haya nakwambia ningekufundisha adabu na usingekuja kunisahau...
 
Kanjanja.... Umekuja na Id nyingine kujipa nguvu.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…