Jiunge nami kusema hapana kwa udhalilishaji na ubaguzi anaoufanya mmliki wa clock tower café Iringa

ila mkuu unaweza ukawa na kosa kwa namna flani na pia huyo mmiliki akutumia aproach nzuri kama binadamu mwenzake any way pole sana mkuu
 
Duh pole sana wakili, Umeomba watu wakuunge mkono, waone umedhalilishwa, naona wote waliochangia wanakupinga. Hapo ulipofungua ofisi ni muhimu kuwa na Choo, sasa ukiwa na wateja, wakishikwa na haja huwa unawaelekeza waende wapi.
Hotel ya mwarabu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vyoo vya kulipia viko kibao Kanye huko
 
Uwakili wake mkongwe hauhusiani na choo Cha mtu kwanza kaamua kukomalia choo Cha mtu Hadi kuamua kuleta Uzi wa kumchafulia biashara yake kisa choo ambacho Sio Cha kwake.Mbona anakomaa Sana na hicho choo Cha mwarabu Ana majini yake kayaweka kwenye hicho choo Cha mwarabu au Nini? Kumchafulia biashara hivi mwarabu wa watu akimtupia majini ya kumtesa huyo wakili atasema kaonewa? SI Kila mtu akionewa anaenda mahakamani aweza mtupia hata dudu baya likamtesa.Huyo wakili hajamtendea haki huyo mwarabu na cafe yake.Very unfair bila kujali kasoma wapi . Property ya mtu Ana right nayo itumikaje huwezi force eti lazima uitumie no.Huyo wakili wenye vyoo kaeni naye mbali msije mpa huduma ya choo mtata mwambieni aende vyoo vya kulipia au akajisaidie ofisini kwake
 
KWeli kabisa hilo jambo ni baya sana kumdhalilisha mtu tena mbele ya watu namna hiyo. KWani sharia inasemaje!
 
KWeli kabisa hilo jambo ni baya sana kumdhalilisha mtu tena mbele ya watu namna hiyo. KWani sharia inasemaje!
Cha mtu Cha hata Kama Ni choo usijifanye kukizoea bila ridhaa yake
 
Bado lakini hajatuambia ugomvi wake na mmiliki ni nini ?maana hiyo person non grata aliyopewa ina kisa nyuma yake afunguke bwana wakili asiuejua kupangilia story yake !
Aseme tu kuwa anakopa sana anaiba vijiko au akienda msalani anachafua sana au ndio wale soda moja anakaaa siku nzima anakula free wifi
 
huyo mwenye hiyo cafe chama gani ? kama ni chadema hapo Iringa tunaye mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa anaitwa Msigwa , ni suala la kumjulisha tu na hatua zitafuatwa
Hahaha hivi kweli kuna shida hapo hadi kuingiza siasa? Huyo mlalamikaji anamatatizo, huwezi kuwa wakili au mwanasheria halafu ukaanza kulazimisha kutumia mali ya mtu bila ridhaa yake. Hicho choo siyo choo cha umma, hicho choo huyo aliyekataa kisitumiwe ndiye mmiliki, ni mali yake. Mlalamikaji angetafuata choo cha umma aone kama kuna mtu angemzuia, eti ana swaumu, kwani inakupa uhalali wa kutumia vitu visivyovyako? uwakili wake pia haumpi uhalali wa kutumia visivyo vyake, alipaswa alilalamikie jiji la Iringa kukosa vyoo vya umma, siyo kulalamikia choo kinachomilikiwa na mtu binafsi. Hicho choo kikijaa mlalamikaji anaweza kumsaidia mwenye café kukivuta uchafu?.
Hakuna ubaguzi wa rangi hapo, sema mlalamikaji kakosa busara. Alipaswa aombe kutumia choo, hakuwa mteja siku hiyo hivyo alipaswa aombe kutumia choo, asilazimishe uteja wa zamani kumpa mamlaka kutumia visivyo vyake. Hivi wateja wote wakikitumia choo hicho kila siku unadhani kitajaa baada ya muda gani? na je kuna mteja kawahi kusaidia kuvuta choo cha café hiyo, akiwemo mlalamikaji?!
 
Mimi nimeeleza tu wasifu wa huyu Zuberi Ngoda kwa ufupi, sijaeleza whether he is right or wrong as far as the current situation is concerned!
 
Umeshakariri sababu maisha yako yameshafunikwa na ego na roho chafu. Hakika kama ungetambua kama simba mla nyama siku akizidiwa hula majani, basi hilo suala lisingekuchanganya. Hivyo vyoo vya kulipia haviko kila hatua mbili, na haja ya mtu haina macho kusema ikuhurumie mahali penye vyoo visivyo public. Kinachofuata pale ni ubinadamu ndio hutawala sio biashara. Si sawa mtu kwenda kujisaidia kwenye vyoo vya biashara ila ikitokea dharula ya kibinadamu hekima hutumika mzee. Hilo nalo linahitaji shule?
 
Wakili ana tabia ya kutoflash [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu ni heri ungeandika Kiswahili maana hapa ushavuruga. Racism ni ubaguzi wa rangi sasa hapo umeona kuna racism yoyote imefanyika?
Kuna different forms of racism.
Google aisee usiongee upupu tu. Elimu ni pana sana uaiwe ignorant.
 
Mkuu jifunze kusubiri muda wakuchimba dawa kama umeshindwa kulipia choo cha stendi.

Acha mazoea na Ofisi za watu, kwanza hujasema kama ulitoa salamu ulipoingia? kwanini usiombe mwanzo kwa vile unajua ni kwa ajili ya wateja ili uruhusiwe.?

Wakili unafeli sana, swala la mistari minne unaeleza page nzima unarudia yale yale
 
kuna watu hapa tanzania wanajiona kama wao ndio wao, hii si mara ya kwanza

Nchi ytu lakini bafo tunyanyasike, pole kak ngoda tuko pamoja huyu awe mfano
 
Tatizo watanzania wengi wachafu sana chooni awe amesoma au hajasoma hawapendi kuflash akimaliza kunya yaan mtu haoni aibu kuacha mavi yake chooni na umekuta choo kisafi mda mwingine unakuta mtu anaenda choon na ka kopo ka nusu kilo ka blueband unajiuliza hv huto tumaji ndo ajitawaze na then aflash inawezekana kweli? Kuna dini moja wafuasi wake ndo wana hizi tabia haijalishi amesoma au hajasoma
 
Mimi nilipe kodi ya pango na mikodi mingine kibao wewe uje unye utoke bila kununua hata maji?Hata mimi sikuelewi
 
Weee Siyo wa Kutulalamikia Hapa

Unakuwaje M/sheria
Una Ofisi Nzuri ila Huna Choo?
Usichukulie Poa Nyumba/Ofisi ni Choo
 
Nimesoma maelezo yako yote na sijaona ni wapi umebaguliwa kutokana na rangi yako. Umekataliwa kutumia choo kama si mteja. Hoja ya ubaguzi wa rangi imekujaje?
 
Nimesoma maelezo yako yote na sijaona ni wapi umebaguliwa kutokana na rangi yako. Umekataliwa kutumia choo kama si mteja. Hoja ya ubaguzi wa rangi imekujaje?
Hata Mimi namshangaa huyu wakili Ana tatizo Sio Siri na hafai kuwa mteja wa hiyo cafe yenye hadhi kubwa.Huyo mumiliki ana haki ya kumpiga marufuku kukanyaga hapo
 
Eti vyoo havipo kila baada ya hatua mbili...kwa hiyo kuzidiwa kunatokeaga ghafla tu ndani ya sekunde???...na ukijifanya msamaria mwema kwa kila anayezidiwa sehemu kama kariakoo na mzunguko kama ule utafanya usamaria wema kwa watu wangapi mwisho si choo chako cha biashara kitageuka public toilet....hekima gani unataka nitumie wakati hekima ya wewe kuomba kwanza kabda ya kuingia huna...aya umeingia bila kuomba unatoka unashindwa hata kuzuga ujifanye unanunua vimaji vidogo badala yake unajibu eti mimi nanunuaga chakula hapa...jifunze kuheshimu biashara za watu pale sio kwako kama kuna huduma unaiomba omba kwanza utapewa but si unatumia bila kuomba alafu ukiulizwa unaleta ujinga...ukitaka watu wakufanyie ustaarabu na ubinadamu kuwa kwanza mstaarabu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…