Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
-
- #141
lazma tupze sauti, hatuwezi kukubali huu ubaguzi, waziri lazma asikie , jpm lazma asikieWeee Siyo wa Kutulalamikia Hapa
Unakuwaje M/sheria
Una Ofisi Nzuri ila Huna Choo?
Usichukulie Poa Nyumba/Ofisi ni Choo
unazidi kuyakuza, wewe ni mbaguzi, jiandae na TRA wanajua kukwepa kwako kodi, jiandae na watu wa Afya na OSHa, watumishi hapo hawajapima, hujakidhi vigezo, na siyo hayo tu, kuna mengi ya ukwepaji kodi tutaweka hadharani na manyanyaso ya wafanyakazi hawana mikataba, hawana nssf , unauza hutoi risiti, hatuta kuacha,Eti vyoo havipo kila baada ya hatua mbili...kwa hiyo kuzidiwa kunatokeaga ghafla tu ndani ya sekunde???...na ukijifanya msamaria mwema kwa kila anayezidiwa sehemu kama kariakoo na mzunguko kama ule utafanya usamaria wema kwa watu wangapi mwisho si choo chako cha biashara kitageuka public toilet....hekima gani unataka nitumie wakati hekima ya wewe kuomba kwanza kabda ya kuingia huna...aya umeingia bila kuomba unatoka unashindwa hata kuzuga ujifanye unanunua vimaji vidogo badala yake unajibu eti mimi nanunuaga chakula hapa...jifunze kuheshimu biashara za watu pale sio kwako kama kuna huduma unaiomba omba kwanza utapewa but si unatumia bila kuomba alafu ukiulizwa unaleta ujinga...ukitaka watu wakufanyie ustaarabu na ubinadamu kuwa kwanza mstaarabu wewe
siyo tatizo, ngoja siku likukute wewe, mbona wazungu na wahindi wakienda pale wanafanya watakavyo?Hata Mimi namshangaa huyu wakili Ana tatizo Sio Siri na hafai kuwa mteja wa hiyo cafe yenye hadhi kubwa.Huyo mumiliki ana haki ya kumpiga marufuku kukanyaga hapo
ni mnunuzi wa kila siku, yaani mteja, na nlikuwa kwenye mfungo na si ajabu tumbo liliniuma kwa kula chakula kilichochacha toka kwao, wameniona sina maana, hawa hawafai kabisaMimi nilipe kodi ya pango na mikodi mingine kibao wewe uje unye utoke bila kununua hata maji?Hata mimi sikuelewi
imeandikwa kukiwa na jazba sana, huu ubaguzi niliusikia afrika kusini kumbe ndio mbaya namna hii, hpna aisee, msiombe kubaguliwa, unaweza ukajiskia si mnyonge bali zwazwa na anayekubagua anakuwa KIFUTUMkuu jifunze kusubiri muda wakuchimba dawa kama umeshindwa kulipia choo cha stendi.
Acha mazoea na Ofisi za watu, kwanza hujasema kama ulitoa salamu ulipoingia? kwanini usiombe mwanzo kwa vile unajua ni kwa ajili ya wateja ili uruhusiwe.?
Wakili unafeli sana, swala la mistari minne unaeleza page nzima unarudia yale yale
asante sana , asantee.Polesana mzee
huyu muhindi ndivyo alivyo, anapenda sura nyeupe zinazoacha tips only, huwezi endana naye kama ngozi ni nyeusi, leo naitisha press conference kulizungumziaila mkuu unaweza ukawa na kosa kwa namna flani na pia huyo mmiliki akutumia aproach nzuri kama binadamu mwenzake any way pole sana mkuu
asante , watu wanabeza kwakuwa waop hawajabaguliwa, tena na mgeni ambaye ana cheti cha NATURALISTION yaani uraia wa kuomba kwa machozi ya damu, okay tusikubali kuwa watumwa kwenye nchi hurukuna watu hapa tanzania wanajiona kama wao ndio wao, hii si mara ya kwanza
Nchi ytu lakini bafo tunyanyasike, pole kak ngoda tuko pamoja huyu awe mfano
wakulima si mmerudishiwa korosho zenu mkazipande tena?huna habari?aiseee chalii yangu endeleeni kulima tu na mdhulumiwe mazao yenu
sisi wanasheria tumezoea kuandika, kuna member ame summerise, pole sana,Umeandika ndefu sana
Pale cafe na hospital Sio mbali ungekimbilia vyoo vya hospitalni mnunuzi wa kila siku, yaani mteja, na nlikuwa kwenye mfungo na si ajabu tumbo liliniuma kwa kula chakula kilichochacha toka kwao, wameniona sina maana, hawa hawafai kabisa
Na nyie mumezidi kuunga mkono watu weupe so ukale kwa waswahili wenzie uwaungishe riziki? Wao huwa hawali hoteli za waswahili wewe Nini kinakupeleka kwa watu weupe? Ulishawahi ona mhindi anakula hoteli ya mswahili au kwa mama ntilie mswahili ? Wewe msomi wawezeshe waswahili wenzio kwa kula hoteli na cafe za waswahili wenziosiyo tatizo, ngoja siku likukute wewe, mbona wazungu na wahindi wakienda pale wanafanya watakavyo?
Hayo ni maoni yako, acha na wengine watoe maoni yao. Usitake uzi ufutweKiukweli hiyo cafe naifaham vizuri tuu...tena inatoa huduma nzuri sana na customer care yake ipo vizur kiujumla....pale huwa tunakutana watu wa jamii tofauti lakin sijawahi shuhudia ubaguzi ulio nenwa na huyu wakili kanjanja....ni wivu tuu kwa kweli pale wapo viongoz wakubwa tu wa mkoa na bei za vyakula vyao ni nafuu sana....cjui huyu mtu anasema anabaguliwa kwa kipi....nadhan kuna ustarabu hakuufuta...mmilik wa cafe..ni mtu poa sana tena ni wakujishusha kweli kweli...he z very smart kwa kweli...tujaribu kutunza brand za watu...mods naombeni futen huu uzi..upo kwa ajili ya kuharibu biashara za watu..
Hata mimi naungana na weweMkuu mimi sikubaliani na wewe na ninahisi wewe ndo ulikuwa na makosa...choo ni kwa ajili ya watu wanaopata huduma hapo na si kwa ajili ya nyi wapita njia...eti kwa sababu tu ushawahi pata huduma hapo so unaona ndo sehemu ya kwenda kumaliza haja zako mda wowote ukijiskia katika mizunguko yako...choo ni kwa ajili ya watu wanaopata huduma kwa mda ule pale
Hili ndo tatizo LA watanzania kwahiyo ukiizoea tu sehemu unaanza kuhitaji mtelemko!!!? Na hicho ndo kilichomponza jamaa.Kikubwa usizoee sana ofisi za watu ,,choo kipo kwa ajili ya wateja tu na sio wapita njia ,Iringa vyoo ni vingi tu ,toa 200 acha kuzoea
Kuna hichi choo cha stand kimetazamana na mahala wamachinga wamepanga vitu ,,ukiwa mteja wa kila siku unatoa 100 tu.