Jizuie kuzaa au kuzalisha ikiwa huwezi kutunza wanao au familia yako

Huku nilipo nasikia dini inakataza kila nyumba kuna single maza mwenye watoto wawili
 
Ona sasa, ujinga gani huu.
Hao single maza na watoto wao kanisa linawatunza au nalo limewatelekeza?
Kanisa halihusiki ni mafundisho tu kwamba zana haziruhusiwi na pia njia za uzazi wa mpango hazitakiwa cha ajabu ni jamii nzima inaamini hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ