Jizuie kuzaa au kuzalisha ikiwa huwezi kutunza wanao au familia yako

Jizuie kuzaa au kuzalisha ikiwa huwezi kutunza wanao au familia yako

Kuna Jamaa namjua na watoto zaidi ya 13 na wote mama tofauti.
Huwa namtizama na kuwaza ana jisikiaje??.

Maana watoto ndala tu kupata ni kasheshe.
Tena ogopa masikini wa fikra, ana weza mbaka mbuzi ili atajirike😆


Umasiki huanzia ktk fikra , imagination

Changamoto kubwa ndo hiyo huwezi kuitazama miaka mitano mbele.

Pia na fixed mindset na yenyewe ni ugonjwa wa masikini.
 
Kwakuwa masikini starehe yake ni ngono je? Tunawekaje haya mambo sawa ili tumuokoe MTU huyu?
 
Nilitaka nikuite kumbe ushafika wizo 🤣🤣🤣
Toka umwambie unataka kumzalia bac anashusha minyuzi heavy yenye madini..!!
Pacha hi 👋 😜
Yaanii 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

mdomo koma mie 😂😂🙌🙌
 
Hapa muhanga mkubwa ni binti.
Yaani akili zao za balehe zinawalostishq sana na kuwaachia maumivu makubwa maishani.
Yaani utakuta anakutegeshea mimba mchana kweupe ATI kisa ndio umuoe.
Madhara yake ndio haya.
Niliwahi date na mdada yaani mimi ndio najua siku zake za hatari kuliko yeye mwenyewe anavyojijua.
Ilivyonasia tu ndio talaka hiyo mazima.
Nikadate na mwingine huyu binti mdogo 22yrs lakini singo mama.
Alikua anajua athari zote za kubebeshwa mimba akawa makini kwelikweli. Siku tunakaribia kuachana akanitegeshea mimba.
Nikaona halahaulaa hata wewe. Kimasihara tu akawa anajibu. Nikimuona mwanangu sitoacha kukukumbuka
Huyu wa mwisho alinitonya kabisaa leo date danger.
N
Tukakubaliana nitamwaga nje.
Wakati nafikia mshindo kaningangania mikono yote miwili kiunoni mzee baba nikashinda jinasua. Nikajua labda alifanya vile sababu ya ladha. Nikampa option nyingine p2. Baada ya miezi kadhaa ananipigia simu ananidorishia kabisaa Ana mimba. Kuuliza vp ulimeza? Ndio kujibu siku meza.
Ndio kumkataa mazima.
Yaani jinsia ke. Acha tu.
 
Back
Top Bottom