Asenga wa Pakaya
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 260
- 60
Ukimtazama usoni utakubaliana nami kuwa huyu sio mnyika yule,Amechoka Uso na masharabu yake yanathibitisha uzee umefika.
Kila alieangalia kipindi cha startv tuongee asbh leo Atakubaliana nami kuwa Bi Esta Bulaya amemuacha mbali sana Mnyika ktk hoja yake ya waraka wa siri wa CCM.
Kiasi Mnyika amechanganyikiwa hadi kukiri wazi kuwa yeye si mtu mwenye msimamo.
"Msimamo wangu wa wazi na msimamo wa haki ni kura ya wazi, lakini baada ya kujua CCM wanaunga mkono kura ya wazi, nmebadili msimamo sasa naunga mkono kura ya siri". Mnyika naona unazeeka sasa
Anataka tuamini kuwa waraka anaodai ni wasiri toka CCM ni wa kweli eti kwa sababu ule waraka wa Mtikila Tarime CHADEMA haijawahi kukaa kikao kuuandaa so hauwezi kukaa kikao kuandaa wa CCM.
Sasa Mnyika kwa uzee wako unadhani mikakati yenu yote huwa mnakaaa vikao vya chama au wenye chama (3) ndio huwa wanaamua??
Nakushauri Mnyika kuanza kuweka akiba kwa kasi kwenye mashirika ya umma Ili yakusaidie uzeeni.
Uzee mwema.
Kila alieangalia kipindi cha startv tuongee asbh leo Atakubaliana nami kuwa Bi Esta Bulaya amemuacha mbali sana Mnyika ktk hoja yake ya waraka wa siri wa CCM.
Kiasi Mnyika amechanganyikiwa hadi kukiri wazi kuwa yeye si mtu mwenye msimamo.
"Msimamo wangu wa wazi na msimamo wa haki ni kura ya wazi, lakini baada ya kujua CCM wanaunga mkono kura ya wazi, nmebadili msimamo sasa naunga mkono kura ya siri". Mnyika naona unazeeka sasa
Anataka tuamini kuwa waraka anaodai ni wasiri toka CCM ni wa kweli eti kwa sababu ule waraka wa Mtikila Tarime CHADEMA haijawahi kukaa kikao kuuandaa so hauwezi kukaa kikao kuandaa wa CCM.
Sasa Mnyika kwa uzee wako unadhani mikakati yenu yote huwa mnakaaa vikao vya chama au wenye chama (3) ndio huwa wanaamua??
Nakushauri Mnyika kuanza kuweka akiba kwa kasi kwenye mashirika ya umma Ili yakusaidie uzeeni.
Uzee mwema.
