Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,221
- 6,940
JK ni noma,yeye anasubiri ukiumwa tu anakununua.
Hapana Mponjoli si kihivyo, huyu ana huruma umesahau kubeneya? lakini wapo na wengine wengi ambao wamesaidiwa na yeye , wengine si wansiasa. Na inawezekana hata BWM alikuwa akisaidia watu , inategemeana tu na kwa jinsi gani umeeleza shida yako na yeye akaichukuliaje. Kuna mshikaji ambaye kwa sasa ni marehemu alikuwa anasumbuliwa na figo ,alihitaji kufanya transplanting, madaktari bongo walikuwa wanamletea zengwe, Alichofanya ni kumtext mzee , japo hamjui lakini alimsaidia kwenda nje na alifanya hiyo transplanting bahati mbaya na hiyo figo ilifail tena alifariki.