Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 723
Bado nijambo lisilo wazi kwanini ccm wana ogopa sana serikali tatu.Huu nignge penda kuuweka kama mjadala wazi ili kwa michango ya wana jamvi tupate kitu fulani na labda kitakacho wasaidia wale wenye bahati ya kwenda kwenye bunge maalumu la katiba.Wengine nilio pata kuongea nao wanasema wanaogopa TANU isije ikarudi.Wanadhani itakuwa vigumu ccm kuwa moja bara na visiwani.Kimsingi kwa sasa chama kilicho na nguvu bara na visiwani ni ccm.vyama vingine vime fanikiwa kujikita upande mmoja tu.Cuf kwamfano kina nguvu visiwani ilihali bara hakina nguvu sana isipo kuwa maeneo machache.
Chadema kwaupande wake kina nguvu kubwa ya kukubalika bara lakini visiwani hamna kitu kabisa.Hivyo ccm inge penda hali hii alau inge endelea hivihivi ili kiwe na nguvu kote kote chenyewe tu peke yake na hivyo kufanya mwananchi mwenye fikra za kawaida kujengewa taswira kuwa hakuna kama ccm.Pia iko hofu kuwa sasa muungano unafikia mwisho wake kulingana na hamu ya Wazanzibari wengi.Hivyo historia ya Tanu na ccm kuonekana waliasisi kitu kilicho prove failure na kuonekana haya kuwa maono sahihi.Yote hiyo itazidi kuonyesha dira ya ccm ama ya muda mfupi ama mrefu haina mafanikio yoyote na hata kuto aminika mbele ya macho ya Watanzania.Wangependa hata walazimishe hivyo hivyo ilmuradi tu muungano uendelee kuwepo.
Kumbukeni wakati sheri hii ya mchakato wa katiba mpya wakati ina anza walitangulia kusema swala la muungano lisiguswe kabisa.Ili kuwa ni hofu hii hii na sasa yametokea.
Kwa sasa watakalo jaribisha kufanya nikutumia bunge la katiba kuondoa hicho kipengele cha serikali tatu kwa gharama yoyote.Lakini tatizo litakalo wakumba ni ufafanuzi alio utoa Mzee Warioba ulikuwa wandani muno kiasi unaye kuja na sababu zingine kuonekano huna hoja zenye mstakabali wa kitaifa.Alisema Wazanzibari wana ona Tanzania bara au Tanganyika imevaa koti la muungano peke yake huku ikifanya Zanzibar nje ya koti hilo inahangaika na kaserikali ambako haka sikilizwi kimataifa.Mzanzibar mmoja anaye chukua Masters UDOM alisema Zanzibar hakuna shughuli za maana za kiuchumi haata bajeti nzima ya serikali ya mapinduzi ya zanzibar ni Billion 600 wakati huku bara bajeti moja kama Tamisemi ni zaidi ya trion 3.
Hali hiyo wanaiona Wazanzibar ni shauri ya muunganao.Aliongeza msomi huyo wa shahada ya pili ya uongozi wa uma kuwa Zanzibar walikuwa wa kwanza kuwa na Television yao katika afrika mashariki lakini hawanauwezo hata wa kuifanya isikike hata Dar tu.Kama tuliweza maratu baada ya uhuru ina kuwaje baada ya muungano uwezo wote umepotea kabisa.Ni mjadala mpana wana jamvi tuu angalie.
Chadema kwaupande wake kina nguvu kubwa ya kukubalika bara lakini visiwani hamna kitu kabisa.Hivyo ccm inge penda hali hii alau inge endelea hivihivi ili kiwe na nguvu kote kote chenyewe tu peke yake na hivyo kufanya mwananchi mwenye fikra za kawaida kujengewa taswira kuwa hakuna kama ccm.Pia iko hofu kuwa sasa muungano unafikia mwisho wake kulingana na hamu ya Wazanzibari wengi.Hivyo historia ya Tanu na ccm kuonekana waliasisi kitu kilicho prove failure na kuonekana haya kuwa maono sahihi.Yote hiyo itazidi kuonyesha dira ya ccm ama ya muda mfupi ama mrefu haina mafanikio yoyote na hata kuto aminika mbele ya macho ya Watanzania.Wangependa hata walazimishe hivyo hivyo ilmuradi tu muungano uendelee kuwepo.
Kumbukeni wakati sheri hii ya mchakato wa katiba mpya wakati ina anza walitangulia kusema swala la muungano lisiguswe kabisa.Ili kuwa ni hofu hii hii na sasa yametokea.
Kwa sasa watakalo jaribisha kufanya nikutumia bunge la katiba kuondoa hicho kipengele cha serikali tatu kwa gharama yoyote.Lakini tatizo litakalo wakumba ni ufafanuzi alio utoa Mzee Warioba ulikuwa wandani muno kiasi unaye kuja na sababu zingine kuonekano huna hoja zenye mstakabali wa kitaifa.Alisema Wazanzibari wana ona Tanzania bara au Tanganyika imevaa koti la muungano peke yake huku ikifanya Zanzibar nje ya koti hilo inahangaika na kaserikali ambako haka sikilizwi kimataifa.Mzanzibar mmoja anaye chukua Masters UDOM alisema Zanzibar hakuna shughuli za maana za kiuchumi haata bajeti nzima ya serikali ya mapinduzi ya zanzibar ni Billion 600 wakati huku bara bajeti moja kama Tamisemi ni zaidi ya trion 3.
Hali hiyo wanaiona Wazanzibar ni shauri ya muunganao.Aliongeza msomi huyo wa shahada ya pili ya uongozi wa uma kuwa Zanzibar walikuwa wa kwanza kuwa na Television yao katika afrika mashariki lakini hawanauwezo hata wa kuifanya isikike hata Dar tu.Kama tuliweza maratu baada ya uhuru ina kuwaje baada ya muungano uwezo wote umepotea kabisa.Ni mjadala mpana wana jamvi tuu angalie.