Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
labda, huwezi jua... sisi waswahili tuna mengi lolMkuu ndo kastaili kako nini!Utoka na bi mkubwa home kuelekea kwenye ina pati mkifika njiani unamwambia mama nimekutoa kuua soo la makidi we katanue mbele tukutane home b'dae.ha ha ha ha ha h
Mkungo, Kweli Mkulu kaenda mapumziko tu. Ila ajapata totos kama ulivyosema. Kama kunakitoto kinamezea mkulu mate nitakaambia katoto kwa kusindikizwa na polisi kaenda Angaza kwanza kasimletee mkulu balaa.
Mkuu check facts zako vizuri, au jamaa wamekuingiza mjini. Mwezi uliopita nilitia maguu pale Mikumi na washkaji wageni. Mimi mzawa nimelipa buku tu na gari 10,000 wale wageni wamelipa 25,000 each
we should be constructive. kwani kuna ubaya kwa kiongozi wa nchi akienda kupumzika katika moja ya hifadhi zetu za taifa! Nafikiri ni muhimu tutoe maoni yatakayosaidia kuboresha utendaji, na si si "upupu" kama baadhi yetu tufanyavyo
hatukuelewana hapa,mimi si raia lakini ni mzaliwa,uzawa wangu si inabidi waniweke kwenye kundi la raia.hizi mbuga ni haki yangu ya kuzaliwa(birthright)sioni kwanini nilipe USD50Ni kweli Masatu,
Inaoneka SoA wamemwingiza mjini. Ninachojua (nilishawahi kufika Mikumi, Serengeti na Ngorongoro) ukienda mbuga za kaskazini (Arusha+Kilimanjaro+Serengeti) bei iko juu kidogo. Raia unalipa Tshs. 1,500 wageni USD 50. Mbuga za kusini (Mikumi, Ruaha, Selous) bei iko chini kidogo kama ulivyosema. Tena bei hizi za raia zina apply kwa raia wote wa EAC. Kwahiyo SoA kawadai pesa zako.
hatukuelewana hapa,mimi si raia lakini ni mzaliwa,uzawa wangu si inabidi waniweke kwenye kundi la raia.hizi mbuga ni haki yangu ya kuzaliwa(birthright)sioni kwanini nilipe USD50
Ukweli utajulikana akiibuka kutoka huko. Aweza kutu-surprise na mapya!
hatukuelewana hapa,mimi si raia lakini ni mzaliwa,uzawa wangu si inabidi waniweke kwenye kundi la raia.hizi mbuga ni haki yangu ya kuzaliwa(birthright)sioni kwanini nilipe USD50
hatukuelewana hapa,mimi si raia lakini ni mzaliwa,uzawa wangu si inabidi waniweke kwenye kundi la raia.hizi mbuga ni haki yangu ya kuzaliwa(birthright)sioni kwanini nilipe USD50
Jk yuko Ruaha National Park siku ya tatu sasa. Sijui anataka kuja na lipi.
hatukuelewana hapa,mimi si raia lakini ni mzaliwa,uzawa wangu si inabidi waniweke kwenye kundi la raia.hizi mbuga ni haki yangu ya kuzaliwa(birthright) sioni kwanini nilipe USD50
Mbu,
Kule Serengeti hakuna tena hoteli za TAHI bali ni za magabachori
Hotels and Lodges (T) Ltd na unaweza kuwapata katika tovuti: Hotels & Lodges Tanzania - Africa's Prime Safari Locations - Welcome to Tanzania
Sielewi kama wamekarabati vizuri kama alivyowaagiza Waziri Mwangunga alipotembelea Serengeti miezi michache iliyopita.