JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

Ukakamavu ni muhimu, Bora kuanzia Jeshini then ndo Uende chuo

We si fara tu na inaonekana umesoma kwa bahati mbya... Au wa Mara nini ... Hata ukienda jeshini bado utarudi uraiani ukakamavu na elimu bora nini ?? jibu we Shoga
 

watakutext sana kijana..ila para lazima unyolewe
 
Majina yao hayo hapo;
Mkuu Chona kuna kambi zingine utakuwa hujafanikiwa kupata PDF zake??? Plz tutupie humu maana web ya JKT haifunguki...e.g. Kigoma naona Bulombora alhali kuna wengine nasikia wamepangwa kambi zingine za Kigoma...
 
Mkuu Chona kuna kambi zingine utakuwa hujafanikiwa kupata PDF zake??? Plz tutupie humu maana web ya JKT haifunguki...e.g. Kigoma naona Bulombora alhali kuna wengine nasikia wamepangwa kambi zingine za Kigoma...

mimi nina pdf zote tatizo natumia simu so siwezi kutupia hapa
 
How can u hate Tanzaniaa. n like to TCU.. Bora University.. Because that much broad.
 
ukwaan haisaidii lolote nenda ukajazwe uzalendo mambo yote yatakuwa pouwaaaaa tu![/QUOTE]

Cjakusoma kijana
Coz sera tao ni Hi÷
Uzalishaji ni 70%
Mafunzo ya kijesh ni 30%
Aya uzalendo wko una % ngap?
 
ukwaan haisaidii lolote nenda ukajazwe uzalendo mambo yote yatakuwa pouwaaaaa tu![/QUOTE]

Cjakusoma kijana
Coz sera yao ni Hi÷
Uzalishaji ni 70%
Mafunzo ya kijesh ni 30%
Aya uzalendo wko una % ngap?
 
Huuuuu ndo ushoga wa wanajeshi wao siwaendelee na maisha walozoea... ... Sas tunaacha kwenda Chuo hayo masomo yakuaje coz wengine wataendelea mbona usenge!! Huu hv tukiacha kwenda wote watajidokoa au.......!

...du! dogo punguza jazba maana inakupelekea kutumia lugha isiyofaa!!
 

sio vyuo vya private 2 hata gvmnt vmeshafungua mfano muccobs taw la sua kngne udom wametoa 4th batch n wanafungua tarh 12 octbr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…