JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

JKT awamu ya tatu Septemba 28, 2013

Mimi siwaelewi kabisa. Hivi hawa vijana siwanatakiwa kwenda vyuo mwezi wa kumi? Au inakuaje hapo? Bora wangesema mapema kwamba kidato cha 6 wanapumzika mwaka hili kwenda JKT kuliko kuwagawa vijana namna hii.

Ngoja tuone wanasemaje wahusika.

hii nchi bwana
 
Vijana walahi mna gundu, tena ni GunDum. Mbona misuko misuko yote hii? Lakini nafkiri wanaweze wakatoa exception kwa some of the universities which have already started a new semister. Patience is a virtual!
 
guys......nendeni chuo....jkt haihami......u can join hata badae afta chuo kama ni issue ya ajira...bt education first....!!!......dats my view!
 
jina langu lipo Tanga Mgambo JKT nisiposikia kauli ya Raisi siendi maana nimeshapoteza pesa nyingi kufanikisha suala la chuo
 
Mtu kanitext kwenye simu nanukuu

"Breaking news..jkt wametangaza kuwa vijana ambao majna yao yametokea wameombwa radhi,kuwa n makosa ya kiufundi...vijana hawatoitajika kambin,waendelee na masomo mpaka pale watakapomalza ndipo wataenda kupitia jkt itakuwa n juni mpaka september 2016 na pia na ya 2017"

mwisho wa kunukuu
 
jamani nimeona majina ya jkt ila kwa wale ninaowajua sikuona jina hata moja kuna baadhi ya wengine wamesema wale wote waliochaguliwa vyuo vya gvt ndio wataenda huko na majina ya waliokosa mikopo yametoka xo anaejua hili zaidi yangu bhac atoe ufafanuzi zaidi ila majina ya jkt nimeyaona wana jf nawatakia usomaj mwema nlchokiandka kna ukwel wa dhat tafakari

sio kweli mimi mwenyewe nimechaguliwa chuo cha serikali lakini jina langu halipo.
 
Mimi na wenzangu tumeenda intake ya kwanza mwezi march, cha kushangaza leo nimeona jina langu na wenzangu weng tu.. #sucks #
 
Mtu kanitext kwenye simu nanukuu

"Breaking news..jkt wametangaza kuwa vijana ambao majna yao yametokea wameombwa radhi,kuwa n makosa ya kiufundi...vijana hawatoitajika kambin,waendelee na masomo mpaka pale watakapomalza ndipo wataenda kupitia jkt itakuwa n juni mpaka september 2016 na pia na ya 2017"

mwisho wa kunukuu

Jeshi huwa hawabahatish na kukurupuka waongo hao
 
MSAADA NICHEKIENI MAJINA HAYA
1.ally A ally
2.Happiness Marco
nitashukru sana

TABORA URAMBO DAY SECONDARY SCHOOL S0754-0516 HAPPINESS MARCO F amechaguliwa kanembwa - kibondo mkoa wa kigoma.
Ally A Ally hajupo wapo Ally M Ally na wengine so kama vp nitajie xul aliyomaliza 4m 6 na mkoa wa xul ilipo nikusaidie
 
QUOTE=Finder boy;7414729]i hate Tanzania, i hate jkt. I like university, i like tcu.[/QUOTE]

wonderful!!!! You hate Tanzania but still u like its institution TCU??? Only people with CHAMELEON OR BAT characters can take your form ahahaaaaaa. Go to JKT, stop blaa blaa
 
Huuuuu ndo ushoga wa wanajeshi wao siwaendelee na maisha walozoea... ... Sas tunaacha kwenda Chuo hayo masomo yakuaje coz wengine wataendelea mbona usenge!! Huu hv tukiacha kwenda wote watajidokoa au.......!
 
Huuuuu ndo ushoga wa wanajeshi wao siwaendelee na maisha walozoea... ... Sas tunaacha kwenda Chuo hayo masomo yatakuaje coz wengine wataendelea wakati cc tuko chuo ... mbona usenge!! Huu hv tukiacha kwenda wote watajidokoa au.......!
 
TABORA URAMBO DAY SECONDARY SCHOOL S0754-0516 HAPPINESS MARCO F amechaguliwa kanembwa - kibondo mkoa wa kigoma.
Ally A Ally hajupo wapo Ally M Ally na wengine so kama vp nitajie xul aliyomaliza 4m 6 na mkoa wa xul ilipo nikusaidie

nchkie s0133/0817 pia s0125/0116
 
Mtu kanitext kwenye simu nanukuu

"Breaking news..jkt wametangaza kuwa vijana ambao majna yao yametokea wameombwa radhi,kuwa n makosa ya kiufundi...vijana hawatoitajika kambin,waendelee na masomo mpaka pale watakapomalza ndipo wataenda kupitia jkt itakuwa n juni mpaka september 2016 na pia na ya 2017"

mwisho wa kunukuu

Hakuna Makosa ya kiufundi yeye katoa wapi hiyo Breaking News
 
Naunga mkono vijana kwenda JKT but suing mkono utaratibu unaotumika, pia sina imani na mazingira ya huko jeshini kama ni salama
 
Back
Top Bottom