Jjmwaipopo
Senior Member
- Jan 11, 2020
- 189
- 122
Simba/Bodaboda/Mbumbumbu hii haikuwa mechi ya kwenu lakini kwenye mitandao mmeishupalia utafikiri mlikuwa mnacheza ninyi zile hasira za Morrisson bado zinawapapasa hivyo mnakaribu kupoteza lengo kwa mchezo usiowahusu