we jamaa unatia aibu sana...sasa ukuta tu? is that your definition of development/progress? ππππukuta tu mtu anafungua uzi?ππnaona majirani wamerudi kwenye archive yao kutafuta jibu linaloendana na swali langu.ila sidhani kama watapata jibu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yaani lazima mtaje Kenya..ππππmnaota na Kenya au? njooni muwe citizensππ
we jamaa unatia aibu sana...sasa ukuta tu? is that your definition of development/progress? ππππukuta tu mtu anafungua uzi?ππ
nilijua lazima utakuja ku-comment kwa jazba na hasira. karibu sana buda.jamaa wamejenga ukuta sasa wanasherehekea na msosi, vinywaji, shangwe na nderemo....kidogo tu wanunue fireworks kisa ukuta...πππππhii ndio huwa tunaita third world mentality
sawa ila punguza hasira.Ww ni kichaa kabisa ukuta ndo was kijisifia jeshi LA Kenya lina majukumu mazito ya kupambama na ugaidi siyo issue ya ukuta
ulimbukeni umemzidi huya jamaa....yaani ukuta mtu anafungua uzi?Ww ni kichaa kabisa ukuta ndo was kijisifia jeshi LA Kenya lina majukumu mazito ya kupambama na ugaidi siyo issue ya ukuta
kuna kitu nilikwambia ila naona hujatilia maananai nduguππππ......heshimu umri wako...nilijua lazima utakuja ku-comment kwa jazba na hasira. karibu sana buda.
topic kama hizi zinahitaji sana opinion za watu wenye hasira kama nyinyi.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
BTW,vipi kuhusu swali langu pale juu kwenye mada kuu?.
Shithole minds. Hawa JKT ndo wale vijana wa NYS au? Maanake sijaelewa kwanini wanafananishwa na KDF ambao kazi kama hizi huwa hawafanyi. KDF wanajenga kuta za defence kwenye nchi ya wenyewe, Somalia lakini sijasikia hata siku moja wakipiga ving'ora kwasababu ya vitu kama hivo. Mirereni kwanza ndo nini? Agizo lilipeanwa na nani, na kwa nini? Jamaa anadhani wakenya wana umbea wakufatafata vitu kama hivo.jamaa wamejenga ukuta sasa wanasherehekea na msosi, vinywaji, shangwe na nderemo....kidogo tu wanunue fireworks kisa ukuta...πππππhii ndio huwa tunaita third world mentality
mugger,alafu kwa taarifa yenu nyie 4th world country, Kenya inajenga ukuta somali border nzima toka kwa bahari la hindi mpaka Kenya Ethiopia Somalia border convergence point....sio 25 km mtu anaanza kuimba imba kana kwamba sijui ameshinda lottery...
shithole mentality...ulimbukeni wa hali ya juumugger,
ukuta wa kenya-somalia unajengwa na kdf?.
kama unajengwa na kdf, lini kdf wanatakiwa kuukamilisha na sasa ukuta huo umefikia katika level gani ya ujenzi katika maazimio ya kuukamilisha?.
sitegemei unijibu kwa emotions. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
alafu kwa taarifa yenu nyie 4th world country, Kenya inajenga ukuta somali border nzima toka kwa bahari la hindi mpaka Kenya Ethiopia Somalia border convergence point....sio 25 km mtu anaanza kuimba imba kana kwamba sijui ameshinda lottery...
kuna kitu nilikwambia ila naona hujatilia maananai nduguππππ......heshimu umri wako...
punguzeni povu basi... nini mbaya?.Shithole minds. Hawa JKT ndo wale vijana wa NYS au? Maanake sijaelewa kwanini wanafananishwa na KDF ambao kazi kama hizi huwa hawafanyi. KDF wanajenga kuta za defence kwenye nchi ya wenyewe, Somalia lakini sijasikia hata siku moja wakipiga ving'ora kwasababu ya vitu kama hivo. Mirereni kwanza ndo nini? Agizo lilipeanwa na nani, na kwa nini? Jamaa anadhani wakenya wana umbea wakufatafata vitu kama hivo.
kile unafaa kuelewa ni kuwa Kenya ukuta sio kipimo cha maendeleo....kazi inafanywa bila kupiga piga mayowe....ukuta ni ukuta tu....wacha tusherehekee mambo mengine ya maana...mugger,
ukuta wa kenya-somalia unajengwa na kdf?.
kama unajengwa na kdf, lini kdf wanatakiwa kuukamilisha na sasa ukuta huo umefikia katika level gani ya ujenzi katika maazimio ya kuukamilisha?.
sitegemei unijibu kwa emotions. [emoji23] [emoji23] [emoji23]