kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
jeshi la kujenga taifa la tanzania (JKT) limekamilisha kujenga ukuta unao zunguka machimbo ya mirerani yanako chimbwa madini ya tanzanite, nyuma ya mda waliopewa na rais.
nadhani hii inawapa picha kamili kuhusu, nidhamu, bidii, ushupavu, uimara na ukakamavu wa majeshi ya tanzania katika kutimiza majukumu yao ya kijeshi.
nataka kufahamu, ni jukumu gani la kijeshi au kijamii, jeshi la kenya (KDF) iliwahi kulikamilisha nyuma ya mda iliowahi kupewa. nimeuliza tu kiroho safi.
majirani na watz wasioitakia mema tanzania, ruksa kutoa povu.[emoji23]
nadhani hii inawapa picha kamili kuhusu, nidhamu, bidii, ushupavu, uimara na ukakamavu wa majeshi ya tanzania katika kutimiza majukumu yao ya kijeshi.
nataka kufahamu, ni jukumu gani la kijeshi au kijamii, jeshi la kenya (KDF) iliwahi kulikamilisha nyuma ya mda iliowahi kupewa. nimeuliza tu kiroho safi.
majirani na watz wasioitakia mema tanzania, ruksa kutoa povu.[emoji23]