JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,746
jeshi la kujenga taifa la tanzania (JKT) limekamilisha kujenga ukuta unao zunguka machimbo ya mirerani yanako chimbwa madini ya tanzanite, nyuma ya mda waliopewa na rais.

nadhani hii inawapa picha kamili kuhusu, nidhamu, bidii, ushupavu, uimara na ukakamavu wa majeshi ya tanzania katika kutimiza majukumu yao ya kijeshi.

nataka kufahamu, ni jukumu gani la kijeshi au kijamii, jeshi la kenya (KDF) iliwahi kulikamilisha nyuma ya mda iliowahi kupewa. nimeuliza tu kiroho safi.

majirani na watz wasioitakia mema tanzania, ruksa kutoa povu.[emoji23]
7a8e20d679b031860aa24df7e5e7ea1f.jpg

fcb0859d978636a1182f3404652a2d77.jpg
6397bd690f92c75283dc4ecd49383209.jpg
 
naona majirani wamerudi kwenye archive yao kutafuta jibu linaloendana na swali langu.ila sidhani kama watapata jibu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
yaani lazima mtaje Kenya..😀😀😀😀mnaota na Kenya au? njooni muwe citizens😀😀
we jamaa unatia aibu sana...sasa ukuta tu? is that your definition of development/progress? 😀😀😀😀ukuta tu mtu anafungua uzi?😀😀
jamaa wamejenga ukuta sasa wanasherehekea na msosi, vinywaji, shangwe na nderemo....kidogo tu wanunue fireworks kisa ukuta...😀😀😀😀😀hii ndio huwa tunaita third world mentality
nilijua lazima utakuja ku-comment kwa jazba na hasira. karibu sana buda.

topic kama hizi zinahitaji sana opinion za watu wenye hasira kama nyinyi.[emoji23] [emoji23] [emoji23]

BTW,vipi kuhusu swali langu pale juu kwenye mada kuu?.
 
alafu kwa taarifa yenu nyie 4th world country, Kenya inajenga ukuta somali border nzima toka kwa bahari la hindi mpaka Kenya Ethiopia Somalia border convergence point....sio 25 km mtu anaanza kuimba imba kana kwamba sijui ameshinda lottery...
maxresdefault.jpg
 
Ww ni kichaa kabisa ukuta ndo was kijisifia jeshi LA Kenya lina majukumu mazito ya kupambama na ugaidi siyo issue ya ukuta
sawa ila punguza hasira.
huo ugaidi kdf imeanza kupambana nao tangu lini?.... je ugaidi kenya umeisha?. alshabab wameisha?.

usijibu kwa hasira tafadhali.
 
Ww ni kichaa kabisa ukuta ndo was kijisifia jeshi LA Kenya lina majukumu mazito ya kupambama na ugaidi siyo issue ya ukuta
ulimbukeni umemzidi huya jamaa....yaani ukuta mtu anafungua uzi?
 
nilijua lazima utakuja ku-comment kwa jazba na hasira. karibu sana buda.

topic kama hizi zinahitaji sana opinion za watu wenye hasira kama nyinyi.[emoji23] [emoji23] [emoji23]

BTW,vipi kuhusu swali langu pale juu kwenye mada kuu?.
kuna kitu nilikwambia ila naona hujatilia maananai ndugu😀😀😀😀......heshimu umri wako...
 
jamaa wamejenga ukuta sasa wanasherehekea na msosi, vinywaji, shangwe na nderemo....kidogo tu wanunue fireworks kisa ukuta...😀😀😀😀😀hii ndio huwa tunaita third world mentality
Shithole minds. Hawa JKT ndo wale vijana wa NYS au? Maanake sijaelewa kwanini wanafananishwa na KDF ambao kazi kama hizi huwa hawafanyi. KDF wanajenga kuta za defence kwenye nchi ya wenyewe, Somalia lakini sijasikia hata siku moja wakipiga ving'ora kwasababu ya vitu kama hivo. Mirereni kwanza ndo nini? Agizo lilipeanwa na nani, na kwa nini? Jamaa anadhani wakenya wana umbea wakufatafata vitu kama hivo.
 
alafu kwa taarifa yenu nyie 4th world country, Kenya inajenga ukuta somali border nzima toka kwa bahari la hindi mpaka Kenya Ethiopia Somalia border convergence point....sio 25 km mtu anaanza kuimba imba kana kwamba sijui ameshinda lottery...
maxresdefault.jpg
mugger,
ukuta wa kenya-somalia unajengwa na kdf?.

kama unajengwa na kdf, lini kdf wanatakiwa kuukamilisha na sasa ukuta huo umefikia katika level gani ya ujenzi katika maazimio ya kuukamilisha?.

sitegemei unijibu kwa emotions. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mugger,
ukuta wa kenya-somalia unajengwa na kdf?.

kama unajengwa na kdf, lini kdf wanatakiwa kuukamilisha na sasa ukuta huo umefikia katika level gani ya ujenzi katika maazimio ya kuukamilisha?.

sitegemei unijibu kwa emotions. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
shithole mentality...ulimbukeni wa hali ya juu
 
alafu kwa taarifa yenu nyie 4th world country, Kenya inajenga ukuta somali border nzima toka kwa bahari la hindi mpaka Kenya Ethiopia Somalia border convergence point....sio 25 km mtu anaanza kuimba imba kana kwamba sijui ameshinda lottery...
maxresdefault.jpg
kuna kitu nilikwambia ila naona hujatilia maananai ndugu😀😀😀😀......heshimu umri wako...
Shithole minds. Hawa JKT ndo wale vijana wa NYS au? Maanake sijaelewa kwanini wanafananishwa na KDF ambao kazi kama hizi huwa hawafanyi. KDF wanajenga kuta za defence kwenye nchi ya wenyewe, Somalia lakini sijasikia hata siku moja wakipiga ving'ora kwasababu ya vitu kama hivo. Mirereni kwanza ndo nini? Agizo lilipeanwa na nani, na kwa nini? Jamaa anadhani wakenya wana umbea wakufatafata vitu kama hivo.
punguzeni povu basi... nini mbaya?.
 
mugger,
ukuta wa kenya-somalia unajengwa na kdf?.

kama unajengwa na kdf, lini kdf wanatakiwa kuukamilisha na sasa ukuta huo umefikia katika level gani ya ujenzi katika maazimio ya kuukamilisha?.

sitegemei unijibu kwa emotions. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kile unafaa kuelewa ni kuwa Kenya ukuta sio kipimo cha maendeleo....kazi inafanywa bila kupiga piga mayowe....ukuta ni ukuta tu....wacha tusherehekee mambo mengine ya maana...
 
Back
Top Bottom