JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

JKT Tanzania yakamilisha ukuta wa Mirereni nyuma ya muda, vipi kuhusu majeshi ya Kenya?

Ukuta hoyeeee! 😀 Hivyo ndo mtakuwa mnajibu wakati mnalishwa sahani za pilau. Hoyeeeee! Ukuta upo haupo? 😀😀
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
According to a UN report, Kenyan soldiers are doing illigal charcoal business in somalia. And this is one reason Amisom funding by UN has been cut. The army generaly is never alert, they get ambused when sleeping. Yaani haya majeshi hawana ratiba ya kulinda doria..Wanafumaniwa wote kama wanang'orota..usless kabisa. Wao ndio wameharibu towns kama Nakuru na Kahawa kwa kusambaza ukwimwi. Heri Jeshi ya tz, kujenga ukuta nikazi ambayo inaonekana..Jeshi ya kenya inafaa kwanza wafanywe training ya kukabiliana na internal corruption. Jeshi ya kenya ukitaka kupigana nao, hakuna haja ya kutumia bunduki,wapee kila mtu takriban shilingi alfu moja kila mtu..Wote watakupea bunduki zao na wakuunge mkono.. Very Corrupt like the Jubilee Gvt
 
We Jamaa-Akili pumbavu, Kenya hamna jeshi lingine isipokuwa KDF, NRM ya NASA ni kikundi haramu sawa na Alshabaab, Mungiki na Makande Army. Lakini kama mnaona KDF hawafanyi kazi yao inavofaa, ruksa kwenu, nendeni mkapambane na maharamia wenzenu Somalia!
 
We Jamaa-Akili pumbavu, Kenya hamna jeshi lingine isipokuwa KDF, NRM ya NASA ni kikundi haramu sawa na Alshabaab, Mungiki na Makande Army. Lakini kama mnaona KDF hawafanyi kazi yao inavofaa, ruksa kwenu, nendeni mkapambane na maharamia wenzenu Somalia!
nilikwambia mkikuyu akirejea patachimbika... unaona sasa. [emoji23]
 
According to a UN report, Kenyan soldiers are doing illigal charcoal business in somalia. And this is one reason Amisom funding by UN has been cut. The army generaly is never alert, they get ambused when sleeping. Yaani haya majeshi hawana ratiba ya kulinda doria..Wanafumaniwa wote kama wanang'orota..usless kabisa. Wao ndio wameharibu towns kama Nakuru na Kahawa kwa kusambaza ukwimwi. Heri Jeshi ya tz, kujenga ukuta nikazi ambayo inaonekana..Jeshi ya kenya inafaa kwanza wafanywe training ya kukabiliana na internal corruption. Jeshi ya kenya ukitaka kupigana nao, hakuna haja ya kutumia bunduki,wapee kila mtu takriban shilingi alfu moja kila mtu..Wote watakupea bunduki zao na wakuunge mkono.. Very Corrupt like the Jubilee Gvt
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Ww ni kichaa kabisa ukuta ndo was kijisifia jeshi LA Kenya lina majukumu mazito ya kupambama na ugaidi siyo issue ya ukuta
Sasa ukuta si ndio moja ya mikakati ya kuzuia magaidi rejea ukuta Israel waliojenga kutenganisha magaidi wa Hama's toka Gaza !
 
According to a UN report, Kenyan soldiers are doing illigal charcoal business in somalia. And this is one reason Amisom funding by UN has been cut. The army generaly is never alert, they get ambused when sleeping. Yaani haya majeshi hawana ratiba ya kulinda doria..Wanafumaniwa wote kama wanang'orota..usless kabisa. Wao ndio wameharibu towns kama Nakuru na Kahawa kwa kusambaza ukwimwi. Heri Jeshi ya tz, kujenga ukuta nikazi ambayo inaonekana..Jeshi ya kenya inafaa kwanza wafanywe training ya kukabiliana na internal corruption. Jeshi ya kenya ukitaka kupigana nao, hakuna haja ya kutumia bunduki,wapee kila mtu takriban shilingi alfu moja kila mtu..Wote watakupea bunduki zao na wakuunge mkono.. Very Corrupt like the Jubilee Gvt
Hehehe Zee la facts take a drink of your pleasure am on my way to refund you champ

Hehehe
 
We Jamaa-Akili pumbavu, Kenya hamna jeshi lingine isipokuwa KDF, NRM ya NASA ni kikundi haramu sawa na Alshabaab, Mungiki na Makande Army. Lakini kama mnaona KDF hawafanyi kazi yao inavofaa, ruksa kwenu, nendeni mkapambane na maharamia wenzenu Somalia!
Tulia sindano ikolee
 
We Jamaa-Akili pumbavu, Kenya hamna jeshi lingine isipokuwa KDF, NRM ya NASA ni kikundi haramu sawa na Alshabaab, Mungiki na Makande Army. Lakini kama mnaona KDF hawafanyi kazi yao inavofaa, ruksa kwenu, nendeni mkapambane na maharamia wenzenu Somalia!
Wacha kutoa povu, Aibu siyo yako ni ya amri Jeshi Mkuu Rais Wa kenya. Yeye ndie ana sifa hizo za kuongoza Jeshi ambalo halina Vitu simple kama ratiba ya kulinda doria. Akienda UN meetings anaambiwa kwamba UN haiwezi kuhusishwa na Jeshi ambalo linafanya biashara haramu
 
Wacha kutoa povu, Aibu siyo yako ni ya amri Jeshi Mkuu Rais Wa kenya. Yeye ndie ana sifa hizo za kuongoza Jeshi ambalo halina Vitu simple kama ratiba ya kulinda doria. Akienda UN meetings anaambiwa kwamba UN haiwezi kuhusishwa na Jeshi ambalo linafanya biashara haramu
KDF inakulinda wewe dhidi ya maadui wote wa Kenya, ndo maana una amani ya kukaa hapo ulipo ukiongea pumba kuwahusu. Am very proud of a gallant soldiers! Hayo mengine ni blah blah tu!
 
KDF inakulinda wewe dhidi ya maadui wote wa Kenya, ndo maana una amani ya kukaa hapo ulipo ukiongea pumba kuwahusu. Am very proud of a gallant soldiers! Hayo mengine ni blah blah tu!
Mungu ndiye analinda wakenya. Jeshi linalinda fisadi ilihali ufisadi uliopo ndani ya Jeshi unaipa Jina mbaya na kuifanya iwe dhaifu. Hakuna chakujigamba hapa, safisha na rekebisha kwanza
 
Kama walivotulia wavunja matofali eeh? 😀
pole sana msee, naona hoja za mkikuyu zimekuzidi uzito.itabidi uombe msaada kwa wakenya wengine waje wakusadie.

peke yako hutaweza pangua hoja za yule jamaa.hoja zake zinaujazo wa ki-heavyweight.
 
Mungu ndiye analinda wakenya. Jeshi linalinda fisadi ilihali ufisadi uliopo ndani ya Jeshi unaipa Jina mbaya na kuifanya iwe dhaifu. Hakuna chakujigamba hapa, safisha na rekebisha kwanza
Huna hoja yeyote wewe, kando na kakariri ulichokisikia kwenye hotuba za Raila na NASA kwenye mazishi, kama ilivo kawaida yenu! Nina jambo moja tu la kukueleza, utachapa porojo sana, ila rais Uhuru Muigai Kenyatta na makamu wake William Kipchirchir Samoei Arap Ruto ndo watatawala Kenya hadi 2022, Inshallah. Upende usipende. Kama ni kujitia kitanzi, fanya hima. Kama ni kuhama Kenya, ruksa kwako!
 
pole sana msee, naona hoja za mkikuyu zimekuzidi uzito.itabidi uombe msaada kwa wakenya wengine waje wakusadie.

peke yako hutaweza pangua hoja za yule jamaa.hoja zake zinaujazo wa ki-heavyweight.
Acha uswahili mwingi jombaa, unaona hojaless zake zikiwa heavyweight kwasababu anaongea pumba kama watz wenzako. Ila kwa mtu makini ni kama kelele za chura. Mimi hapa nipo eeeasy kama kawa.
 
nilikwambia mkikuyu akirejea patachimbika... unaona sasa. [emoji23]
Hata sijui unamuelewaje chizi huyo. Kama ni kiswahili anakichapia mithili ya kithembe. Kama ni hoja, ni zile tantarira kama za taarabu. Pamechimbika ndani ya akili zake na zako tu. 😀
 
Acha uswahili mwingi jombaa, unaona hojaless zake zikiwa heavyweight kwasababu anaongea pumba kama watz wenzako. Ila kwa mtu makini ni kama kelele za chura. Mimi hapa nipo eeeasy kama kawa.
Hata sijui unamuelewaje chizi huyo. Kama ni kiswahili anakichapia mithili ya kithembe. Kama ni hoja, ni zile tantarira kama za taarabu. Pamechimbika ndani ya akili zake na zako tu. 😀
punguza jazba msee.
 
punguza jazba msee.
Punguza 'pang'ang'a'. Naona ndo pamechimbika kwako. 😀😀😀 Wewe mwenyewe ndo uliyejitwika firimbi ya referee. Sasa ukininukuu kisha nikujibu ndo unasema ni jazba? Povu ni la nini? Si ubaki kimya tu. 😀😀
 
Huna hoja yeyote wewe, kando na kakariri ulichokisikia kwenye hotuba za Raila na NASA kwenye mazishi, kama ilivo kawaida yenu! Nina jambo moja tu la kukueleza, utachapa porojo sana, ila rais Uhuru Muigai Kenyatta na makamu wake William Kipchirchir Samoei Arap Ruto ndo watatawala Kenya hadi 2022, Inshallah. Upende usipende. Kama ni kujitia kitanzi, fanya hima. Kama ni kuhama Kenya, ruksa kwako!
Hiyo haina hoja kaka, mustakabali wa 2022 haupo kwa darubini kwa hii mada. Uelewe kwamba Amri Jeshi Mkuu aliopo kwa sasa pamoja na makamu wake ni mazuzu ambao wana chekwa na wakuu wa majeshi ya nchi zingine. Eti Jeshi lako lina fanya biashara ya kuuza makaa.. hahahaha! hiyo nikazi ya wa mama sokoni si kazi ya Jeshi kuu.. Aibu Aisee
 
Hiyo haina hoja kaka, mustakabali wa 2022 haupo kwa darubini kwa hii mada. Uelewe kwamba Amri Jeshi Mkuu aliopo kwa sasa pamoja na makamu wake ni mazuzu ambao wana chekwa na wakuu wa majeshi ya nchi zingine. Eti Jeshi lako lina fanya biashara ya kuuza makaa.. hahahaha! hiyo nikazi ya wa mama sokoni si kazi ya Jeshi kuu.. Aibu Aisee
Rais Uhuru Kenyatta na William Ruto ndo walipeleka KDF Somalia? Aisee, we jamaa itabidi urudi shule. Wewe ni mkenya wa aina gani kama hata hujui KDF walifika Somalia lini na kwanini? Kwani ndo upo darasa la saba? Kamuulize baba yenu Raila kwanini alichapa muhuri kwenye uamuzi wa KDF kuingia Somalia. Kojoa ukalale, usije ukaniambukiza ujinga bana!
 
Back
Top Bottom