JKT waliorudishwa nyumbani watakiwa makambini

JKT waliorudishwa nyumbani watakiwa makambini

Nafikiri tujikumbushe hotuba ya CDF wakati wa commission ya maofisa wapya, alisema wanafikiria kuja na mfumo mpya katika suala hili la kujitolea kwa vijana, nachelea kusema ni mfumo upi lakini acha wao wenyewe watakuja na ufafanuzi. (Mawazo binafsi haya Mkuu)
Basi sawa...

Ila kwa harakaharaka, wengine tushastukia ishu.. vijana wanaenda kuchapa kazi za uashi, sio za kijeshi.
 
Ikiwa hivyo, hebu tuambie kwanini wameitwa la saba na form four (failures) pekee?

Au unataka kutuambia mwanajeshi ambaye ni daktari naye anashika kwanja kufyeka?
Umejuaje Kama ni failures?
 
Hivi la saba nao bado wapo kwenye majeshi yetu?
 
Hivi la saba nao bado wapo kwenye majeshi yetu?

Kama walivojaa bungeni

Lakini bora zaidi hawa lasaba na form 4 kwa matendo na tabia zao kuliko maprofesa wetu na Wale wasomi.... Abuse of education and power.... aibu sana
 
Warudisheni wale walioandamana, mmewatumia, waliahidiwa ajira, yaliyotokea wasamehewe na timizeni ahadi ya ajira!
 
Hujaelewa kitu kabisaa. ❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌. 00%

Hawa sio wale waliofukuzwa..
Basi waliofukuzwa wako mtaani, na hasira zote za kufukuzwa kwao zimehamishiwa mtaani.
 
Ikiwa hivyo, hebu tuambie kwanini wameitwa la saba na form four (failures) pekee?

Au unataka kutuambia mwanajeshi ambaye ni daktari naye anashika kwanja kufyeka?
Mkuu jeshini huwa hawakurupuki, ukiona wamekuja na maamuzi ujue kuwa wameona tatizo ni nini? Wasomi wengi huwa wanatabia ya kuhoji hoji sana na hii ni tofauti Maisha ya kijeshi tii amri, na usidai haki kupitiliza hayo ni makosa.
 
Back
Top Bottom