JKT yakanusha suala la kunyanyasa vijana

JKT yakanusha suala la kunyanyasa vijana

Watu waende jkt wakaondoe ulegelege na ugoigoi.kama ni kuchakatwa hata uraiani wanachakatwa sana vikevile akifika chuoni kama atakuwa hajitambui ndiyo atachakaa zaidi.maana chuoni wanaamua kuishi kabisa kama mme na mke na wakimaliza chuo kila mmjoja kivyaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasipochakatwa huko wakirudi uraiani si watakuwa jeuri
Acha waliwe tu

Ova
 
Hii nchi imekuwa ya ajabu Sana , imefikia mahali wazazi wanaingilia Hadi program za mafumzo ya jkt. JKT ni jeshi sio shule za msingi au sekondari. JKT waambieni ukweli pale ni jeshi na wanapewa mafunzo ya ujasiri na ukakamavu wa kijeshi , kwa tafsiri nyepesi wanaandaliwa kuwa jeshi la akiba. Haya ndo madhara ya kupeleka watt shule za st. vitoto plus wazazi wanafikra za umayaimayai .
Wao ndio wametweza hadhi ya JKT ni wapi jeshi linaelekeza wanaojiunga wajigharimie mavazi nk..hata hiyo nidhamu itatoka wapi wakati muhusika kajigharimia mwenyewe kufika kambini.
 
Wamama na wadada wazuri waliopitia JKT si wamo humu?
Toeni ekspiriensi yenu,mlipokua kwenye makambi,ni uongo kua hamkuwa chakula cha maafande wasiokua waadilifu au ni uongo,walikua wanawaangalia tu,wanaishia kuwaka tamaa za kingono?
Kuweni tu wakweli,maana hayo mambo hata vyuo vya kati na vyuo vikuu,huwa inasemwa kuwa wadada wazuri wanaliwaga sana,ila ikibainika labda kwa kurekodi au kwa vyovyote vile,ndiyo viongozi wa vyuo husika huja na kulisemea,ila kabla halijabainika,viongozi husema kua vyuoni,siyo sehemu ya kufanya ngono,ni sehemu ambayo mwanachuo anapata elimu ya kile kilichomo kwenye mitaala.
 
Ukweli lazima usemwe
Watoto wa kike wanaoenda jkt huishia kuwa chakula cha maafande unless binti awe na sura mbovu
 
Kwanza mabinti huwa wakifika makambini kama kombania ikiwa na afande mnaa wanajilegeza Kwa kuliwa mbunye ili wapate kamserereko
 
Serikali iweke utaratibu wa kulazimisha watu waende JKT. Kwa mfano ingekuwa hila JKT huwezi kufanya application ya chuo mbona watu wangeenda! Ila kwa vijana wenye matatizo ya kiafya sijui ingekuwaje?
Vyuo ni Biashara watu hawawezi, kuharibu biashara yao ambayo wateja ni wanafunzi sababu ya JKT
 
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limewataka Wazazi na Walezi wa Vijana kupuuza taarifa za uzushi unaolenga kuwatia hofu Vijana waliopangiwa kuhudhuria Mafunzo ya JKT katika makambi mbalimbali kutokwenda kuripoti makambini, kwa kile kinachodaiwa kuwa eti, mafunzo ya JKT ni mateso, yana unyanyasaji na udhalilishai hususani kwa Vijana wa jinsia ya kike.

JKT imesema taarifa hizo ni uzushi kwani mafunzo hayo ni muhimu sana kwa ustawi wa Vijana na Taifa kwa ujumla

“Hivi karibuni JKT ilitoa wito kwa Vijana wote waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita mwaka 2023, kutoka Shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria lakini kumezuka taharuki kubwa katika mitandao ya Kijamii kutoka kwa baadhi ya Watu wenye nia ovu wasilolitakia mema Taifaletu”

“Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria na yale ya Kujitolea yamelenga kumjengea kijana wa kitanzania uzalendo, ukakamavu, nidhamu na kuleta umoja wa kitaifa na yanaendeshwa kwa kuzingatia mila, desturi na tamaduni za kitanzania”

“JKT katika kuhakikisha Vijana hao wanakuwa salama wakati wote, Makambi na Vikosi vote vya JKT vina Baba na Mama Mlezi (Patron a Matron) ambao wamewekwa mahususi ili kusimamia ustawi wa Vijana wa kiume na wa kike kwa kipindi chote wanapokuwa makambini”
Kwa kweli hill suala la unyanysaji hasa wa kike linatakiwa likemewe, na wengine kupewa adhabu hata pasipo stahili au kwa sababu kuna mtu anajiona ana haki hiyo ya kutoa adhabu.
 
Hata mimi kabla sijaenda huko mujibu nilikuwa na mawazo kama haya ila nilipoenda nikajionea mwenyewe

Huko jeshini binti kuliwa ni maamuzi yako mwenyewe kutongozwa lazima utatongozwa lakini ukikataa hakuna atakayekulazimisha wala kukubaka

Tatizo hao mabinti wengi wanakubali kutembea na hao wanajeshi ili course iwe nyepesi na laini kwao wapunguziwe mateso sasa sijui ni mateso gani hayo

Lakini sisi wengine mbona tumepita huko na tulitongozwa tukakataa, na wala hatujaona huo ugumu kwenye course, wa kumfanya mtu akubali kuchanua miguu yake kwa mpuuzi mmoja tu

Anyway waacheni ila baadaye wakishamaliza vyuo wakaona jinsi ajira zilivyo ngumu mtaani, wasije wakaona majeshi ndio kimbilio lao na kuanza kulalamika kwamba jeshini siku hizi hawako fair wanaajiri kwa connection, maana ndio hali halisi tunayoiona hivi sasa
 
Mzazi anayeruhusu mtoto aende huko, hana akili

Mkuu kama ni Sheria ni Vema mtoto akaenda Sema Cha Msingi,Mkuu wa JKT anatakiwa aseme wazi kuwa Vitendo vya Kudhalilisha haswa watoto wa kike ikitokea wapige simu fulani au watoe taarifa sehemu fulani,Hii itasaidia sanaa kuliheshimisha Jeshi na Kuondoa woga hasa kwa watoto wa Kike.
 
Back
Top Bottom