Hii nchi imekuwa ya ajabu Sana , imefikia mahali wazazi wanaingilia Hadi program za mafumzo ya jkt. JKT ni jeshi sio shule za msingi au sekondari. JKT waambieni ukweli pale ni jeshi na wanapewa mafunzo ya ujasiri na ukakamavu wa kijeshi , kwa tafsiri nyepesi wanaandaliwa kuwa jeshi la akiba. Haya ndo madhara ya kupeleka watt shule za st. vitoto plus wazazi wanafikra za umayaimayai .
Uko sahihi kabisa kaka,
Ila Wangeweka Utaratibu kama Mtoto hasa wa Kike akifanyiwa Vitendo vya Udhalilishaji ikiwemo Kutaka Kinguvu ngono na Linasemwa s ana hili kuwa lipo, Uwepo utaratibu au namba ya simu ya Kutoa Malalamiko.
Hii litalifanya Jeshi liwe sehemu ya Nidhamu,Otherwise litaonekana tuu kama sehemu ya Wahuni.
Ni kweli kuna Baadhi ya Ndugu watoto wao wa kike wamefanyiwa mambo machafu jadi wengine kurudi na Ujauzito.
so Lazima waweke utaratibu wa wazi Kwa wanafunzi.