Hili sina ushahidi nalo ila itoshe kusema inatia huruma sanaaaacha tu, mabinti wengi wanatoka huko na UKIMWI, ndoto zao zinaishia hapo, laiti wazazi wangejua kinachoendelea huko, wangesikitika sana
acha tu, mabinti wengi wanatoka huko na UKIMWI, ndoto zao zinaishia hapo, laiti wazazi wangejua kinachoendelea huko, wangesikitika sana
jeshi ni amri tu, malalamiko utayapeleka wapi?Hii ni hatari sasa, hakuna utaratibu wa kutoa malalamiko yao sehemu yoyote?
Nimeshangaa sana, najiuliza hivi hata posho wanapewa kweli?Enzi zetu tulirudishiwa nauli na kupewa ya kuondokea na kila kitu
JKT ni kuwapotezea muda vijana.
Mafunzo ya JKT hayajawahi kua na maana yoyote.
Kwenda kufundishwa kukesha usiku kucha, sijui kugalagala kwenye matope eti ndio uzalendo sijui ukakamavu.
JKT kuwapotezea muda vijana, muda amvao wangeweza kuzalisha au kufanya mambo ya maana kwenye maisha yao.
JKT badala ya kufundisha watu ujuzi wanaenda kufundisha watu kukesha, kumwagilia bustani, sijui kufanya ujinga gani mwingine eti ndio uzalendo.
jeshi ni amri tu, malalamiko utayapeleka wapi?
Mzee baba wale si ndio waongeza moraliTuyaache tu mkuu aliyepita huko ananielewa.... Kwa kifupi mafunzo ni mengi hasa kwa watoto wa kike
Kuna vijana kibao wapo mitaani na wanapoteza muda kuliko hata hao wanaokwenda jkt.JKT ni kuwapotezea muda vijana.
Mafunzo ya JKT hayajawahi kua na maana yoyote.
Kwenda kufundishwa kukesha usiku kucha, sijui kugalagala kwenye matope eti ndio uzalendo sijui ukakamavu.
JKT kuwapotezea muda vijana, muda amvao wangeweza kuzalisha au kufanya mambo ya maana kwenye maisha yao.
JKT badala ya kufundisha watu ujuzi wanaenda kufundisha watu kukesha, kumwagilia bustani, sijui kufanya ujinga gani mwingine eti ndio uzalendo.
Sidhani....Nimeshangaa sana, najiuliza hivi hata posho wanapewa kweli?
Hapana kila mtu kivyake..na Kama unataka kwenda sikushauri ufanye hivyoHivi huwa wanaenda pamoja na wale wa kujitolea kwa intake moja lakini Hawa wanakuwa kwa miezi mitatu tu...au Hawa wanakuwa group special linalohusu waliomaliza six tu?
Usishangae..zile hela zilizokuwa zinatolewa kwa ajili ya hayo yote alivoingia jamaa akazipiga stop,zikawa allocated kununua bombardier na kujenga flyoverHivyo vitu vya kwenda navyo tulikuaga tunavikuta huko, nashangaa kipindi hiki wanatakiwa waende navyo hadi nauli hivi kuna posho kweli siku hizi, What's happening with mama Tanzania???
mambo ya jeshi ni siri mkuu,Wangekua na mfumo nje ya kambi, basi angalau wafanyie kazi tuhuma hizi hata kama hazijafikishwa rasmi. Maana ipo siku hii habari itakuja kuibuka na kulichafua sana jeshi letu
Tunaita "CHENJA". Song ni lugha ya kiraia unaicha siku ya intro.Nenda Mkuu Ukawe Mzalendo, Muda Huu Ndiyo Mzuri
Unapiga Song Kwenda Mbele.
Ungesota na u private sanaaaaWengine ndo wanatoka kimaishaa hivyo mkuu...!! Me kama sio kufaulu vizuri na kupata uhakika wa kupata mkopo na chuo kizurii leo ningekuwa Kwenye kile Chomboo.