JKT yatangaza majina ya vijana waliohitimu Kidato cha Sita 2020 wanaotakiwa kujiunga na JKT kwa Mujibu wa Sheria

Hivi kama wahitimu wa kidato cha sita walikuwa ni wengi zaidi ya hao wachache waliochaguliwa kujiunga na JKT kwa mujibu wa sheria wale ambao hawajachaguliwa wanakuwa wamepata bahati ya kutojiunga kabisa? Na ni vigezo gani utumika kuwachagua hao wachache? Na kama kuna aliyechaguliwa kujiunga na akaamua kutokwenda na kukaa nyumbani kama wale ambao hawakuchaguliwa uwa kuna adhabu yoyote atakayopata huko mbele ya safari?
 

Be, jesi lisisile - Wanaenda na vifaa vyao hata supi sa jesi serikali imesindwa?
 
Hivyo vtu si huwa vnatolewa kulekule au serekal haina pesa? Aah ila Kurutu ni mdudu acha ajinunulie tu
 
Enzi zetu tulirudishiwa nauli na kupewa ya kuondokea na kila kitu
Hope watafanya hivyo watu wasiwakatishe tamaa wadogo wetu kuna kitu watajifunza kwa muda mfupi wa mafunzo hao tusibeze
 
Kama mwanao anajiamini mwache aende tu usimzuie ila kama hapendi usi mlazimishe.
 
pumbav kabisa yani mimi nisote miaka yote hiyo alaf bado na wao wanisoteshe tena kwa vitu visivyokuwa na faida yoyote ile....huko ni kupoteza muda na kukatisha ndoto za watu...miafrika ndivyo ilivyo..
 
Nakumbuka kipindi chetu sie tulikuwa hatuendi hata na soksi maana zote tunapewa hukohoko hivyo vifungu 1-8 vyote vilikuwa vinagharamikiwa na serikali, achilia mbali na 50k ya posho kila mwezi serikali ilikuwa inamlipa mzabuni 8500 kwa siku na kwa kila mtu.
 
Nawaonea huruma watoto wa kike daaahhhh
Huruma kwa lipi,kama kubanduliwa,wameishabanduliwa,na matango ya kila saizi,kuna ambao nilisafiri nao kutoka Mwanza kwenda Arusha na Isamilo bus,njia nzima wanasimuliana walivyokunywa pombe,na jinsi maticha wao walivyokuwa wanawamendea.
 
Vijana waende tu kijifunza Uzalendo! Nina kijana wangu hapa yeye atariport Jkt Ruvu - pwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…